King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
High time I started reading my salary slip! Ngoja niiangalie upya kwa jicho la fundi saa.
Salary slip inaonyesha deni lako lililobaki!
Salary slip inaonyesha deni lako lililobaki!
kamanda
Jamaa wamenitenda kweli, i went there in person nikaambiwa sina deni, juzi nimekuta MTM ndani ya wadaiwa sugu, nimewaomba tena niwalipaje?? na nitahakikishaje kwamba jina limeondolewa? wameniambia wataniarifu sasa nimekua mpole
Lazima ulipe!
Waulize watunga sheria iliyoanzisha bodi ya mikopo!
kamanda
Jamaa wamenitenda kweli, i went there in person nikaambiwa sina deni, juzi nimekuta MTM ndani ya wadaiwa sugu, nimewaomba tena niwalipaje?? na nitahakikishaje kwamba jina limeondolewa? wameniambia wataniarifu sasa nimekua mpole
Mkuu, naomba msaada wa link ya majina ya wadaiwa..
tupinge!!
Wale loan defaulters wa HESLB ambao walikula kiapo kwamba hawatalipa kwa kuwa pesa walizopewa ni ruzuku sasa wajiandae kulipa!HESLB imeteua mawakala ambao wanapita katika kila taasisi kuwapa maelekezo wakuu wa Idara namna ya Kuandaa taarifa za wahitimu wa vyuo vikuu waliosoma kwa mikopo ili waanze kulipa mara moja!Rafiki yangu mmoja ambaye alikuwa mkaidi kuhusu jambo hili,nilipomfahamisha alinywea!LIPENI PESA ZA WALIPA KODI BANA!MLIKUWA MNATANUA NA BOOK ALLOWANCE PALE MABIBO HOSTEL NA PALE MEEDA BAR!
Ulivyoongelea kishabiki hapo...wewe lazima utakuwa baadhi ya waliokosa mkopo HESLB wakati huo ukawa private, hela ya kwenda Meeda mpaka ukaombe kwa baba, pole!
Inayolipwa ni tuition fees tu, na sio allowances za vitabu, kujikimu, na/au mafunzo ya vitendo! Na tunalipa hayo madeni, acha wivu! Msiolipa jamani muanze kulipa wadogo zetu nao wasome!
Kalipe Deni nimeona wewe ni mmoja kati ya Watu ambao hawajaanza hata kupeleka Malipo yao
Salary slip inaonyesha deni lako lililobaki!