Wale loan defaulters wa HESLB ambao walikula kiapo kwamba hawatalipa kwa kuwa pesa walizopewa ni ruzuku sasa wajiandae kulipa!HESLB imeteua mawakala ambao wanapita katika kila taasisi kuwapa maelekezo wakuu wa Idara namna ya Kuandaa taarifa za wahitimu wa vyuo vikuu waliosoma kwa mikopo ili waanze kulipa mara moja!Rafiki yangu mmoja ambaye alikuwa mkaidi kuhusu jambo hili,nilipomfahamisha alinywea!LIPENI PESA ZA WALIPA KODI BANA!MLIKUWA MNATANUA NA BOOK ALLOWANCE PALE MABIBO HOSTEL NA PALE MEEDA BAR!