Loan board

Prince Akeem

JF-Expert Member
May 26, 2013
884
375
Za saa hivi wadau.
Kuna dogo wangu kamaliza form six mwaka huu na amepangiwa kwenda JKT kambini mwezi wa sita mwanzoni.
Ni kweli wanatakiwa ku apply loan Board kabla ya kwenda JKT kambini.??
 
Back
Top Bottom