<br />Asante comrade, mie naambiwa fomu yangu haijafika. Nilituma tarehe 14 june 2011 saa 4 asubuhi posta mpya dsm kwa EMS na namba ninayo. Je nifanyeje na kwa sasa nipo nje ya mkoa wa dsm?
<br />
<br />
nyie ndo mliiba form za bodi.
<br /> <br / DA mjomba huo ni MTAZAMO WAKO unaweza ukawa sahih or not.mimi naona bora hata angekua kwenye lile group lawaliokosa coz ya ufinyu wa budget pengine wangemfikilia lakn hayuko popote inanitia shaka just MTAZAMO WANGUNimecheki jina la mdogo wangu na wenzie kadhaa wa Microbiology waliokosa mkopo waliochaguliwa udsm sijawaona nimeangalia vifungu vyote mwanzo mwisho sijaona majina yao.hii inanipa faraja kwamba kuna listi nyingine itatoka hivi karibuni.,nadhani itajumuishwa na wale watu elfu nne wa second round application sababu haitawezekana watu elfu nne wote wakose mkopo itakua balaa...fedha ipo,,,let's wait two weeks walizopewa bodi kuhakikisha wote waliokosa wakati wana vigezo....nimefarijika kidogo
<br />Waliokosa mkopo ni km 4000 na si 1995, wametoa takwimu za uongo.
<br /><br /><br />
<br /><br />
walokosa mkopo ni 14000 bana.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Au wanataka watu tukakope benk? nini!
<br /><br /><br />
<br /><br />
walokosa mkopo ni 14000 bana.
<br /><br />nimehasabu wale wenye sifa zote, ila budget imebana, cjahesabu wale wenye matatizo katka kujaza form. Na bod group hili lilitaja wapo 1995, lakn kataka list ya waliokosa kutokana budget Exhausted n 4000
<br />&lt;br /&gt;<br /><br />
Nilichokisoma hadi sasa kuhusu walokosa mkopo ni hivi, maana kila wakati Idadi inabidilika ni Wanafunzi 13,505 kwa mchanganuo ufuatao, <br />
BUDGET EXHAUSTED=4,678<br />
NAMES DIFFERENCES=1,572<br />
NO SIGNED CONTRACT SUBMITTED=2,853<br />
NOT ELIGIBLE=1,709<br />
NOT NEEDY=1,338<br />
PREVIOUS LOANEES=1,355<br />
Inaleta Jumla ya Wanafunzi walokosa 13,505 tu labda wakiongezeka hapo baadae.
swali zuri Senetor, hata mimi nimejiuliza hivyo.na hao 2nd round applicants?