Loan board yatoa loan breakdown

Status
Not open for further replies.
Asante comrade, mie naambiwa fomu yangu haijafika. Nilituma tarehe 14 june 2011 saa 4 asubuhi posta mpya dsm kwa EMS na namba ninayo. Je nifanyeje na kwa sasa nipo nje ya mkoa wa dsm?
 
Asante comrade, mie naambiwa fomu yangu haijafika. Nilituma tarehe 14 june 2011 saa 4 asubuhi posta mpya dsm kwa EMS na namba ninayo. Je nifanyeje na kwa sasa nipo nje ya mkoa wa dsm?
<br />
<br />
duh,hyo kesi yako ngumu sana mkuu,inabid uwaface mwenyewe.
 
Ninashemeji yangu yeye kachaguliwa TEKU na kapewa mkopo jina lipo kwenye ile list ya kwanza, lakini kwenye hii breakdown jina lake sijaliona, majina waliochaguliwa na kupata mkopo ktk chuo hiki ni 859 lakini waliopo kwenye breakdown ni 556 hivi, swali langu ambao hawajatoka kwenye hii breakdown ndo wamekosa au hii imetolewa kama sample kwamba wote waliopata tangu awali wamepat. Naomba ufafanuzi kwa hili wakuu
 
Nimecheki jina la mdogo wangu na wenzie kadhaa wa Microbiology waliokosa mkopo waliochaguliwa udsm sijawaona nimeangalia vifungu vyote mwanzo mwisho sijaona majina yao.hii inanipa faraja kwamba kuna listi nyingine itatoka hivi karibuni.,nadhani itajumuishwa na wale watu elfu nne wa second round application sababu haitawezekana watu elfu nne wote wakose mkopo itakua balaa...fedha ipo,,,let's wait two weeks walizopewa bodi kuhakikisha wote waliokosa wakati wana vigezo....nimefarijika kidogo
<br /> <br / DA mjomba huo ni MTAZAMO WAKO unaweza ukawa sahih or not.mimi naona bora hata angekua kwenye lile group lawaliokosa coz ya ufinyu wa budget pengine wangemfikilia lakn hayuko popote inanitia shaka just MTAZAMO WANGU
 
Inaonesha hawa loan board kweli wazalendo vya kutosha, maana wameshindwa kujenga ceiling yao iya mlangoni iliyodondoka na wakatoa mamilioni ya shilingi kwa wanafunzi!!! Jengeni hapo mbele, hii aibu tupu (najua wafanyakazi wa HESLB hupitapita hapa).
newboardmembers.jpg
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
walokosa mkopo ni 14000 bana.
<br />
<br />
nimehasabu wale wenye sifa zote, ila budget imebana, cjahesabu wale wenye matatizo katka kujaza form. Na bod group hili lilitaja wapo 1995, lakn kataka list ya waliokosa kutokana budget Exhausted n 4000
 
nimehasabu wale wenye sifa zote, ila budget imebana, cjahesabu wale wenye matatizo katka kujaza form. Na bod group hili lilitaja wapo 1995, lakn kataka list ya waliokosa kutokana budget Exhausted n 4000
&lt;br /&gt;<br />
Nilichokisoma hadi sasa kuhusu walokosa mkopo ni hivi, maana kila wakati Idadi inabidilika ni Wanafunzi 13,505 kwa mchanganuo ufuatao,
BUDGET EXHAUSTED=4,678
NAMES DIFFERENCES=1,572
NO SIGNED CONTRACT SUBMITTED=2,853
NOT ELIGIBLE=1,709
NOT NEEDY=1,338
PREVIOUS LOANEES=1,355
Inaleta Jumla ya Wanafunzi walokosa 13,505 tu labda wakiongezeka hapo baadae.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Nilichokisoma hadi sasa kuhusu walokosa mkopo ni hivi, maana kila wakati Idadi inabidilika ni Wanafunzi 13,505 kwa mchanganuo ufuatao, <br />
BUDGET EXHAUSTED=4,678<br />
NAMES DIFFERENCES=1,572<br />
NO SIGNED CONTRACT SUBMITTED=2,853<br />
NOT ELIGIBLE=1,709<br />
NOT NEEDY=1,338<br />
PREVIOUS LOANEES=1,355<br />
Inaleta Jumla ya Wanafunzi walokosa 13,505 tu labda wakiongezeka hapo baadae.
<br />
<br />
na hao 2nd round applicants?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom