Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Mdau mmoja toka chuo kikuu nilimhoji kuhusu migogoro ya mikopo
Kumbe loan board fedha wanazituma vyuoni alafu vyuo ndo vinapeleka kwenye account za wanafunzi.
Kinachotokea watu wanazipiga izo kwenye fixed account kabla ya kuwapa wanafunzi
Swali
Loan board wanavikopesha vyuo au mnawakopesha wanafunzi,kwenye form za mikopo kuna namaba za account za wanafunzi kama sikosei kwa nini msiwawekee moja kwa moja badala ya iyo mizunguko.
Sidhani kama wakati wa kurudisha mkopo wanafunzi watapeleka ela chuo then ndo ziende loan board?
Kumbe loan board fedha wanazituma vyuoni alafu vyuo ndo vinapeleka kwenye account za wanafunzi.
Kinachotokea watu wanazipiga izo kwenye fixed account kabla ya kuwapa wanafunzi
Swali
Loan board wanavikopesha vyuo au mnawakopesha wanafunzi,kwenye form za mikopo kuna namaba za account za wanafunzi kama sikosei kwa nini msiwawekee moja kwa moja badala ya iyo mizunguko.
Sidhani kama wakati wa kurudisha mkopo wanafunzi watapeleka ela chuo then ndo ziende loan board?