Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 16
Ndugu wa JF hivi karibuni, board ya mikopo ilitangaza kuwa watasomesha wanafunzi wa Masters na PhD. Wengi tulilipokea tangazo hilo kwa fulaha lakini pia tukicaution kuwa inaweza kuwa political motive. Tulianza kuwahamasisha watu wenye pass zao nzuri waombe kabla selikari haijafunga mlango. Cha ajabu miongoni mwa watu tuliowahamasisha wamekwenda loan board na kuambiwa mikopo ipo tu kwa watu waliokwisha ajiriwa na taasisi za elimu ya juu and not otherwise.
Hii imekaaje?
Hii imekaaje?