Mzalendo wa TZ
Member
- Sep 2, 2012
- 48
- 7
Ndug wanajukwaa poleni sana kwa shughuli na kukosa mikopo kwa baadhi ya wanachuo watarajiwa.Leo majira ya saa 12.06 jioni website ya bodi ya mikopo imeanza kufunguka na wameomba radhi kwa matatizo yaliyojitokeza na kuonesha njia mpya ya kuona Mkopo uliopata na mchanganuo wake.Maajabu na kitu cha kushangaza ni kwamba wanakuelekeza jinsi ya kuona huo mkopo,
1.Click view results,kisha itakuletea yafuatayo
a].Ingiza key word [Ni moja kati ya uafuatayo;Index number,First name,middle name or surname]
b].Ingiza security code kama walivyokuwekea kwa mbele.
Kitu cha ajabu ni kwamba hawajaka maelekezo ni index number ipi inayotakiwa kutumika kati ya ile ya kidato cha nne na cha sita?Majina yanafanana je,watayatofautisha namna gani?Lakini cha ajabu zaidi ukifuata maelezo hayo bado account zetu za loan board hazifunguki.
Wataalam tunaomba mtusaidie kwa hili kama sisi ndo tuna uelewa mdogo wa au ni tatizo linalotusumbua wote?
1.Click view results,kisha itakuletea yafuatayo
a].Ingiza key word [Ni moja kati ya uafuatayo;Index number,First name,middle name or surname]
b].Ingiza security code kama walivyokuwekea kwa mbele.
Kitu cha ajabu ni kwamba hawajaka maelekezo ni index number ipi inayotakiwa kutumika kati ya ile ya kidato cha nne na cha sita?Majina yanafanana je,watayatofautisha namna gani?Lakini cha ajabu zaidi ukifuata maelezo hayo bado account zetu za loan board hazifunguki.
Wataalam tunaomba mtusaidie kwa hili kama sisi ndo tuna uelewa mdogo wa au ni tatizo linalotusumbua wote?