Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,270
- 105,445
<br><br>Kama haya maneno ni kweli, hiki si kitu cha kujivunia.<br><br>Hili litaonyesha ubovu wa mfumo wetu wa elimu kuliko ugumu wa first class.<br><br>This seems more like some medieval guild aimed at "barrier to entry" to that distinguished profession more than educational excellence.Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.<br>
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.<br>
<br>
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.