LL.B 1st class holder

Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.<br>
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.<br>
<br>
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
<br><br>Kama haya maneno ni kweli, hiki si kitu cha kujivunia.<br><br>Hili litaonyesha ubovu wa mfumo wetu wa elimu kuliko ugumu wa first class.<br><br>This seems more like some medieval guild aimed at "barrier to entry" to that distinguished profession more than educational excellence.
 
Lakini na nyinyi acheni dharau. Kwa nini mnabeza hivyo hizo festi klasi za Tumaini? Kwani wanaosoma Tumaini hawawezi kuwa na festi klasi? Acheni dharau zenu hizo. Kusoma UDSM wala si ujiko kihivyo.


hivi ni lini Graduate wa UDSM wataacha kuwaona graduate wengine kama sio Graduate,je tutabaki kuwa na UDSM milele yote, ina maana watakao soma UDOM nao watakuwa hawafai maaana ni public university,sio kweli kwamba graduate wote wa sheria wa Udsm ni wazuri kwenye soko kama mnavyo fikilia wapo vilaza vile vile pia sio kweli kwamba wanaosoma vyuo vingine ni vilaza wapo wazuri na wana fanya vizuri saana,ni tazamo tu
 
Nadhani kuna tatizo kwenye hii thread. Kurasa ya sita siwezi kuisoma. Ni mimi tu au na wengine ni hivyo hivyo?
 
daaaa inaonyesha wewe ujasoma LLb kabisa kama wewe umesoma law karibu law school of tanzania njoo na hiyo 1 class yako utukute sisi wenye pass uone jinsi tunavyokukimbiza kama vile hujawahi kusoma ok
 
hivi ni lini Graduate wa UDSM wataacha kuwaona graduate wengine kama sio Graduate,je tutabaki kuwa na UDSM milele yote, ina maana watakao soma UDOM nao watakuwa hawafai maaana ni public university,sio kweli kwamba graduate wote wa sheria wa Udsm ni wazuri kwenye soko kama mnavyo fikilia wapo vilaza vile vile pia sio kweli kwamba wanaosoma vyuo vingine ni vilaza wapo wazuri na wana fanya vizuri saana,ni tazamo tu

Yeah, the condescending attitude shown by some UDSM alumni is appalling. And I know for a fact that Law is not that difficult compared to other academic disciplines like Theoretical Physics, for example. It clearly doesn't make sense for there not to have the so called &#8216;first class' achievers in all of these years. That is nothing to be proud of and it shows that something is wrong somewhere.

And I wonder if the discounting by some of these UDSM alumni is fueled by jealousy and /or envy because they couldn't achieve it themselves. Because clearly academic excellence doesn't translate into competence in the real world. So why all the hate?
 
natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
<br />
<br />

Wewe acha kugombanisha watu hapa bure. First class gani usiye na vision? Hu clarify hata ni aina gani ya kazi waomba, unaomba kiujumla ujumla tu kama mhitimu wa form four. Ndio kisa hapa unashambuliwa wewe na chuo chako.

Kama kweli wewe ni talented kama unavodai mbona kuna majukwaa kibao ya kujitangaza na kuuza uwezo (CV) yako ukatafutwa na law firms ama mashirika ya msaada wa kisheria? Hebu fikiria baadhi ya nafasi za kujitangaza
1. Midahalo ya katiba
2. Vipindi vya sheria radioni na ktk TV
3. Kuandika makala magazetini za kisheria
4. Kuandika post za kisheria kwa jina lako halisi katika mitandao mfano humu JF
5. Kuandika articles katika professional journals
6. Kuanzisha blog ya kisheria

Nahakika kama wewe ni first class michango yako utakayoitoa katika majukwaa hayo hapo juu itawavutia wahusika na utapata ofa kibao za kazi na itakua juu yako kuchagua the best offer.
 
Wewe ni kilaza, !st class wote hubakizwa chuoni au hata kuajiriwa na vyuo vingine ka ma Tutors n ahusomeshwa na uwa Professors baadae. Kwa nini Tumaini wasikuchukue? Nasikia eti Tumaini wanatoa !st class ili kuvutia wateja na ikiwa Lecturer atatoa marks kdg kibarua kinaweza kuota nyasi, balaa...Jamani vyuo ni vya Umma tu, huko private hamna kitu, tuna jamaa wengi tu wa Tumaini ofcn kwangu yaani ni mizigo tuu, kakitu kadogooo utaskia mkuu hebu hapa................... full kuomba miongozo........... shame....
 
Wewe ni kilaza, !st class wote hubakizwa chuoni au hata kuajiriwa na vyuo vingine ka ma Tutors n ahusomeshwa na uwa Professors baadae. Kwa nini Tumaini wasikuchukue? Nasikia eti Tumaini wanatoa !st class ili kuvutia wateja na ikiwa Lecturer atatoa marks kdg kibarua kinaweza kuota nyasi, balaa...Jamani vyuo ni vya Umma tu, huko private hamna kitu, tuna jamaa wengi tu wa Tumaini ofcn kwangu yaani ni mizigo tuu, kakitu kadogooo utaskia mkuu hebu hapa................... full kuomba miongozo........... shame....

Kwa hiyo hao "1st class" ni lazima wabaki chuoni? Na hivi hiyo Faculty of Law (hivi bado inaitwa hivyo) ina walimu wangapi sasa? Maana tunaambiwa in recent memory "1st class" ni tatu tu nazo ni za Migiro, Palamagamba, na Majamba (lol). Sasa hao walimu wengine wafundishao hapo wote wana "1st class"?

Chris Peter naye alipataga "1st class"? Shivji je? Mgongo Fimbo je? Lamwai naye alikuwaga ticha hapo. Naye alipata hiyo "1st class"? Na yule Mvungi je?
 
Kwa hiyo hao ni lazima wabaki chuoni? Na hivi hiyo Faculty of Law (hivi bado inaitwa hivyo) ina walimu wangapi sasa? Maana tunaambiwa in recent 1st class ni tatu tu nazo ni za Migiro, Palamagamba, na Majamba (lol). Sasa hao walimu wengine wafundishao hapo wote wana 1st class
Chris Peter naye alipataga Shivji je? Mgongo Fimbo je? Lamwai naye alikuwaga ticha hapo. Naye alipata hiyo Na yule Mvungi je?
mbona unafiri kwa ufupi hivyo?
 
Kwa hiyo hao &amp;quot;1st class&amp;quot; ni lazima wabaki chuoni? Na hivi hiyo Faculty of Law (hivi bado inaitwa hivyo) ina walimu wangapi sasa? Maana tunaambiwa in recent memory &amp;quot;1st class&amp;quot; ni tatu tu nazo ni za Migiro, Palamagamba, na Majamba (lol). Sasa hao walimu wengine wafundishao hapo wote wana &amp;quot;1st class&amp;quot;?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Chris Peter naye alipataga &amp;quot;1st class&amp;quot;? Shivji je? Mgongo Fimbo je? Lamwai naye alikuwaga ticha hapo. Naye alipata hiyo &amp;quot;1st class&amp;quot;? Na yule Mvungi je?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Kuwa mahiri katika sheria ama fani yoyote ile si lazima uwe na first class. Yawezekana hao wote uliowataja hawakupata first class (ingawa sina uhakika) lakini wameweza kujipambanua kwa uwezo wao mkubwa katika fani hiyo. Na kumbuka vyuo vya umma huajiri malecturers waliopata gpa ya kuanzia 3.8 ambayo ni upper second hivyo first class (ambayo ni gpa ya kuanzia 4.4 kama sijakosea iko ndani ya vigezo vya kuwa lecturer) sasa ajabu ndugu yetu huyu anahaha bado kutafuta kazi, yaani kashindwa kwenda kulobby chuo chochote hata kuvolunteer kuonesha uwezo wake wa kufundisha?<br />
<br />
I doubt hata hiyo 1st class kweli kama anayo.
 
Mnasema sheria ya tumaini ni mdebwedo cjui..how come students 4rm tumaini wanafanya vizuri law school?...mbona kuna watu kibao kama gerald nangi wanakimbiza mbaya pale law xul?...
 
Mnasema sheria ya tumaini ni mdebwedo cjui..how come students 4rm tumaini wanafanya vizuri law school?...mbona kuna watu kibao kama gerald nangi wanakimbiza mbaya pale law xul?...
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ndo anakudanganyaga hvo?nyie kubalin 2,2maini wanasomaga vilaza,hakuna kupndsha maneno hapa..
 
Mnasema sheria ya tumaini ni mdebwedo cjui..how come students 4rm tumaini wanafanya vizuri law school?...mbona kuna watu kibao kama gerald nangi wanakimbiza mbaya pale law xul?...

heee gerald ndio umeamua ujitaje kabisa, kumbe upo law school...haya bana hongera kwa kukimbiza
 
Mnasema sheria ya tumaini ni mdebwedo cjui..how come students 4rm tumaini wanafanya vizuri law school?...mbona kuna watu kibao kama gerald nangi wanakimbiza mbaya pale law xul?...
<br />
<br />
Gerald Nangi Cv 4m four dvs 4 form six Dvs 2 ya mwisho Tumaini Univert Upper 2nd class Du du
 
daaaa inaonyesha wewe ujasoma LLb kabisa kama wewe umesoma law karibu law school of tanzania njoo na hiyo 1 class yako utukute sisi wenye pass uone jinsi tunavyokukimbiza kama vile hujawahi kusoma ok
<br />
<br />
utaishia na Sap kilaza wa St Agustine wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom