mwakichi
JF-Expert Member
- May 14, 2011
- 417
- 95
chanzo:historic background.
kumbe jk the pres kasoma shule na aliejua mtumishi wa BoT bwn liyumba,habar zaid zinaeleza mr pres alikua kilaza na bwn liyumba alikua na akil nyingi kumzidi..ugomvi ulianza pale mr pres alikua mb na liyumba mtumishi BoT kwan jk alikua anachukua mababy kwa kinga ya umb na uwazir akat liyumba alikua anatembeza cash..ilipofika kwa mr pres kupigwa chini na mb viti maalum vick kamata kwa ajil ya liyumba ikamuuma can akadhamiria kumfunga na amefanikiwa..leo kampa vick kamata ubunge viti maalum na vicky kamata kamshukuru kwa wimbo mfalme akikusamehe nan atakuhukumu?ule ni zaid ya wimbo wa kawaida,jaribu kuusikiliza..
kumbe jk the pres kasoma shule na aliejua mtumishi wa BoT bwn liyumba,habar zaid zinaeleza mr pres alikua kilaza na bwn liyumba alikua na akil nyingi kumzidi..ugomvi ulianza pale mr pres alikua mb na liyumba mtumishi BoT kwan jk alikua anachukua mababy kwa kinga ya umb na uwazir akat liyumba alikua anatembeza cash..ilipofika kwa mr pres kupigwa chini na mb viti maalum vick kamata kwa ajil ya liyumba ikamuuma can akadhamiria kumfunga na amefanikiwa..leo kampa vick kamata ubunge viti maalum na vicky kamata kamshukuru kwa wimbo mfalme akikusamehe nan atakuhukumu?ule ni zaid ya wimbo wa kawaida,jaribu kuusikiliza..