BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
Kutokana na kauli ya PM "Liwalo na Liwe" na muda mfupi kutokea kwa tukio la kutekwa na kuumizwa vibaya Daktari Ulimboka, Wataalam wa saikolojia wanasema neno hilo linahusiana na tukio hilo!, maana yake ni kwamba waziri mkuu pinda alikuwa anajua hiyo mipango hata kabla ya kutokea. Kama wapo wataalam wengine humu watusaidie kudhibitisha hilo. Katika hali ya kujitahidi kuficha suala hilo wanajitahidi kuepuka kuundwa kwa tume huru kuchunguza hilo jambo. Kwahiyo ukweli ni kwamba bila tume huru tusitarajie kupata majibu yoyote ya kuridhisha ya tukio hilo. kwahiyo hatuna budi kuwasapoti wanaharakati wetu wote wanaomba tume huru iundwe, bila kufanya hivyo kesho au kesho kutwa na wewe yanaweza kukutokea hayahaya na mambo yakawa hayahaya.
Nawasilisha!.
Nawasilisha!.