Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Bado dakika 4 mpira uishe wakuu.
obstruction from behind??? wewe kweli hujui kabisa soccerNi kweli hakuguswa lakini ile obstruction ya mabeki wawili wa Liva ndio hiyo penati.
kushinda tunashinda ila sijapendezeshwa na jinsi kikosi changu kinavyocheza: muda wote ni presha tupu.
it is not fair kwa liverpool. stakeholders wametoa pesa yao kufanya usajili na kugharamia mambo kadha wa kadha only for a decision of one man (ref) to change all the effort based on nothing really. Not fair. Me think refs have too much power in football na kufanya watu wengine wajinga!Kwa kweli ni ushindi wa ngekewa tu kwa Man U ambayo muda wote wamekua wakichezewa robo uwanja hapa.
obstruction from behind??? wewe kweli hujui kabisa soccer
si lazima kucomment tu hata kama ni pumba mkuu
Ngosha naona leo tuko ukarasa mmoja..hahaaHuyu Refa ana mahaba ya wazi kabisa.........Inasikitisha....
Valencia kamchezea rafu Daniel Agger refa hajapiga filimbi, Valencia anajiangusha refa anatoa penati....
Jonjo Shelvey kapewa straight red card kwa kudaiwa kufanya tackle ya miguu miwili kitu ambcho si kweli.......RVP amecheza tackle ya makusudi ya miguu miwili anapewa yellow card........Pathetic
I see.........Hiyo ni chiboko.....Ni kweli hakuguswa lakini ile obstruction ya mabeki wawili wa Liva ndio hiyo penati.
Huyu Refa ni ni mpuuzi kabisa....Kazidi aisee......Ngosha naona leo tuko ukarasa mmoja..hahaa
msimu uliopita ela haikutosha, mkaangulia pua na msimu huu Chelsea yenye Hazards za kutosha na Oscar winners Man U itaishia kuangukia pua,,ivo enjoy while it lastsNilijua mtaongea sana mwisho mtakaa chini,haya sababu huwa haziwaishi