Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,449
- 27,099
Tumepiga 5 - 1 Na Mpira Umemaliza
...just as I wished!Tumepiga 5 - 1 Na Mpira Umemaliza
Daah nilikuwa naangalia pressing. Tuna press mpaka rahaWadau mmeenda wapi mbona kimya hapa Anfield...?
Sasahivi jitahada zielekezwe kwenye kupata clean sheets za kutosha ili kunenepesha goal difference yetu!LFC YNWA! tunacheza Samba,Tango,Salsa, Kiduku, kata panga MoonWalk, Crip walk Football LFC YNWA!
Tunahitaji bao nyingi kama tunashindwa clean sheet!Leo goal diff bao 4 sio mbaya hata kidogoSasahivi jitahada zielekezwe kwenye kupata clean sheets za kutosha ili kunenepesha goal difference yetu!
ynwaLFC YNWA! tunacheza Samba,Tango,Salsa, Kiduku, kata panga MoonWalk, Crip walk Football LFC YNWA!
atamani Sana emre Chan aingie kwenye timu ILA sioni WA kumweka bench daaTunahitaji bao nyingi kama tunashindwa clean sheet!Leo goal diff bao 4 sio mbaya hata kidogo
Hongereni ila msifike penye singeli.LFC YNWA! tunacheza Samba,Tango,Salsa, Kiduku, kata panga MoonWalk, Crip walk Football LFC YNWA!
Can hana mechi fitness nadhani ulimuona leo alipom-replace Henderson alicommit silly fouls ambazo kama wangekuwa na mpigaji mzuri wa free kick wangeweza kupata goli.N
atamani Sana emre Chan aingie kwenye timu ILA sioni WA kumweka bench daa
Hahaaaaa asante sana .... najua ulikuwa umeandaa dela na tarumbeta uje kukesha humuEd n Edd nEddy
Basi sawa hongereni
sio we Tu hats mimi na baby fergie nilikuwa simkubali Sana ILA kwa sasa naweka akiba ya maneno kwa captainCan hana mechi fitness nadhani ulimuona leo alipom-replace Henderson alicommit silly fouls ambazo kama wangekuwa na mpigaji mzuri wa free kick wangeweza kupata goli.
Henderson amekuwa mzuri kweli he's proving me wrong tofauti na misimu miwili iliyopita. Ule msimu wa 2013/2014 alikuwa kwenye form nzuri ukichanganya na timu
Nalihifadhi kwa ajili ya siku nyingineHahaaaaa asante sana .... najua ulikuwa umeandaa dela na tarumbeta uje kukesha humu
Bado Karius sijamfaidi kabisa apewe 4-5 games ikiwemo ya Man uI feel sorry for Mignolet