SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Lovren is good on air which means you need someone to complement him on the ground
MosDef....tupo pamoja sana hapo kwa Sakho.It will be the first dissapointment from Klopp for me if it really happen.Hata kama anakuja beki mwingine zaidi ya Sakho still sioni point ya kumuuza au kumloan mtu ambaye ni experienced kwenye timu na kiwango chake hakina shaka.
Hata ukimleta Sergio Ramos badala yake bado nitampinga Klopp kwenye hili.
Klopp is also human being,expectation za LFC fans zilikuwa kubwa sana.Nilishasema ukija kufundisha EPL lazima ubadilike hata kama ulipata mafanikio kwenye ligi nyingine huku mambo ni tofauti kabisa.
MosDef....tupo pamoja sana hapo kwa Sakho.It will be the first dissapointment from Klopp for me if it really happen.Hata kama anakuja beki mwingine zaidi ya Sakho still sioni point ya kumuuza au kumloan mtu ambaye ni experienced kwenye timu na kiwango chake hakina shaka.
Hata ukimleta Sergio Ramos badala yake bado nitampinga Klopp kwenye hili.
Yaani Mimi Najiuliza Defence Line Yetu Hii (Lovren) Tukikutana Na Mti Kama Ibra or Diego Costa What Will Happen?
Klopp is a "big games manager" hii ni tangu yupo Dortmund. So hata siku moja usiwe na wasiwasi LFC ikiwa inacheza na big teams kwenye EPL..uwe unashikilia moyo wako tukiwa tunacheza na hull city/Palace/WBA/Bournemouth etc coz chance za kupoteza ni 80% iwe home/away..
Klopp is a "big games manager" hii ni tangu yupo Dortmund. So hata siku moja usiwe na wasiwasi LFC ikiwa inacheza na big teams kwenye EPL..uwe unashikilia moyo wako tukiwa tunacheza na hull city/Palace/WBA/Bournemouth etc coz chance za kupoteza ni 80% iwe home/away..
Saa nane unusu mchana (14:30) kwa masaa ya Tanzania.Wadau habari zenu. Naomba nijulishwe mda wa game la leo
AsanteeSaa nane unusu mchana (14:30) kwa masaa ya Tanzania.
Karibu...