Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,070
consistent inconsistent team as usual .... huu msimu tusipo iona golden sky basi anthem yetu ibadilishwe tu.
Klopp anajua kazi yake vizuri sana....lakini nahisi ana kiburi tu...hii ligi ya Uingereza.... ni tofauti kidogo na ligi zingize za Ulaya...sasa kwa Koch makini lazima atambue hilo...watu wanahitaji Matokeo mazuri sio kuongeaa saaaana......Klopp will be a failure at Liverpool.
Phil Jones is surplus of requirement hapo Man U
Huyu ningekuwa mm Klopp ninge bid
Acheze na Sakho game kama za Man u kwa Ibra na Chelsea kwa Costa
mmeshaanza kumkataa tena??Klopp will be a failure at Liverpool.
mmeshaanza kumkataa tena??
Kwani ameshapata tayari wachezaji wake?
Kwikwii kwiiiiiii once a failure, you'll always be a failure
BBC Radio 5 live - In Short, Liverpool fan: 'Klopp is no better than Rodgers'
mi nafikiri jwa sababu Flanno ni homeboy ndio mana wanampigia kelele sanaKina Pearce wanam-scapegoat Moreno, and at the same time they're backing Flanagan..they're both 24, kama unasema Flanno anahitaji muda, kwanini isiwe Moreno? And Moreno is miles better than Flanno.
Naona jogoo linagonga tu, haliangalii asubuhi wala jioni!
Some people huwa wanadhani kuwa Klopp hapaswi kukosolewa, he's a top manager, top man and a perfect man for the job BUT hiyo haokwepeshi sababu ya mimi kuto-question his decisions, after-all me ni supporter wa LFC.
Idea ya kutaka kumtoa Sakho kwa mkopo ni ya kipuuzi sana tena itakuwa ni ya kipuuzi zaid kama hakutakuwepo na signing ya CB mwingine mzuri zaidi ya Sakho, Na itakuwa ni idea mbaya zaidi kama tu Sakho ataondolewa kwa mkopo na Lucas kucover eneo la CB. Sijaumia na uamuzi wa Klopp kwasababu Sakho ni one of my fav LFC player, but nimeumia kwasababu Sakho is our best defender, there's no way Lovren/Matip/Klavan are any better than Sakho..na ubaya ni kwamba Sakho akiondoka tutabakia na 3 cbs..Lovren isn't good enough, Klavan is 31 (bought as a cover), And Gomez is just a kid (katoka kwenye ACL injury)..huwez ukanambia uamuzi wa kumtoa Sakho kwa mkopo una maana yoyote ile..
Hakuna tatizo kama unam-bin Sakho kama kutakuwepo na upgrade yoyote ile, but kuna hiyo upgrade? Je tunaonekana tupo kwenye market ya kutafuta CB mwingine? Kama hakuna CB mwingine anakuja, why loaning out Sakho? Am sorry kama ntaoffend watu, but Klopp is turning into Rodgers, analeta personal issues na players, ishu kwamba Sakho anahitaji match fitnes ni upuuzi tu, Sakho anatolewa kwa mkopo kwasababu ya ile ishu iliyotokea Kwenye tour USA..kama mchezaji anakuwa ame-misbehave unamuonya tu, lakini kumtoa kwa mkopo? Knowing that we're short in that area huo ni upuuzi, na siyo kwamba Sakho alifanya kosa kubwa kama wanayofanya "english players" mpaka ifikie hatua ya kusema unataka kumtoa kwa mkopo, na once Sakho akiondoka kwa mkopo LFC career yake ndiyo inakuwa imeishia hapo, there's no way mtu mwenye miaka 26 anatolewa kwa mkopo eti for match fitness.
Rodgers did the same thing kwa Agger na ikatucost a lot..leo hii unataka umtoe sakho kwa mkopo wakat una beki aina ya Lovren, when we signed Matip, kila mtu alikuwa anaamini kuwa Sakho-Matip ndiyo ingekuwa first choice partneship ya LFC..lakin sasa Matip anaenda kucheza na Lovren..(tutakuja kumkataa Matip)..Lovren anahitaji sana Cover na hiyo cover tunayoizungumzia ni Henderson (damn)..
Our defense is shit, tulikuwa tunajipa moyo kuwa Sakho akirudi atasaidiana na Matip at the back, jana asubuhi fanbase yote ya LFC ilikuwa na furaha Sakho kurudi mazoezini, then baadae tunakuja kuambiwa Klopp anataka kumtoa kwa mkopo, this is unacceptable kabisa.
Unaacha kubin mizigo kama kina Henderson unaenda kum-bin Sakho..yule Henderson ana-msaada gani kwenye team? Kiungo ambaye hawezi hata kupiga 40 yards passes..Sakho ndiyo alikuwa ball playing CB wetu na ndiye alikuwa great passer wa team kutokea nyuma, mara kibao ameanzisha mashambuliza kutokea nyuma, Sakho akiwepo huwez kuona kina Coutinho wakija chini kutafuta mipira mara kwa mara, leo hii tunamtoa kwa mkopo..kama unamtoa kwa mkopo atleast sign An upgrade, lakini it seems Lucas will cover that position, which is ni UPUUZI.
Hakuna aliyemoan Benteke alivyopigwa bei coz our attacking force is full, but binning Sakho with that shit defense? Hahaha you gotta love liverpool fc.
Klopp is also human being,expectation za LFC fans zilikuwa kubwa sana.Nilishasema ukija kufundisha EPL lazima ubadilike hata kama ulipata mafanikio kwenye ligi nyingine huku mambo ni tofauti kabisa.Klopp will be a failure at Liverpool.
Mimi namuunga mkono kupanga kikosi imara kwa kuwa hatushiriki ligi za ulaya. Hapa namaanisha ucl na europa ligi. Matumaini yetu ni huku kwenye changanyikeni. Kule premier league kazi itakuwa ngumu sana. Baada ya kupoteza fainal mbili msimu uliopita sioni sababu ya kupuuza vikombe hivi vidogovidogo.Na Hii Ndiyo Timu Ya Leo Usiku Kwenye Formaly Known as "Capital One Cup" Mignolet, Clyne, Lovren, Matip, Milner, Henderson, Can, Lallana, Firmino, Mane, Origi.
Sijaona Sababu Ya Kuwa Mane Hapa Acheze Wakati Anatokea Kwenye Injury.
Klopp asiposajili left back inabidi Joe Gomez apewe motivatio awe regular left back. Moreno awe back up