Sio kurogwa mkuu, tatizo wachezaji wenu hamuwapi posho za kununua sukari, wakisikia timu ya kiwanda cha sukari wanajua hapa hatukosi posho ya viroba vya sukari. Hivi bado dakika ngapi tusherehekea ushindi?Naweza kuamini tumerogwa,siyo bure
Kwenye hizi hatua za mwanzo za ligi, pumba itaelea pale juu kwenye msimamo. Hii pumba baadaye kidogo kidogo itaanza kulowa na kushuka chini kwenye sehemu yake huku cream (Yanga Afrika) ikipanda tartiibu pale juu mahala pake ilipopazoea!
Kwa hiyo pumba zilizopo pale juu kwenye msimamo wa ligi kwa sasa ziendelee kukesha kwa kusheherekea hako ka-chance ka kukaa kwenye apex kabla ya mwenye napo hajaja!
mi yanga dam. naomba matokeo pliz
Hapo badala ya Tegete alitakiwa awepo Kiiza, naona ujinga wa Msuva utaicost Yanga kwenye hii mechi, Dogo angekuwemo angeleta changamoto, kulia Shamte Ally, kushoto Simon Msuva kati Kiiza na Kavumbagu au na Bahanuzi sasa wanayanga mngekuwa mnashangilia tu.
Crashwise mechi imeisha au?miwa1 na kavumbagu, twite 0
Kwenye hizi hatua za mwanzo za ligi, pumba itaelea pale juu kwenye msimamo. Hii pumba baadaye kidogo kidogo itaanza kulowa na kushuka chini kwenye sehemu yake huku cream (Yanga Afrika) ikipanda tartiibu pale juu mahala pake ilipopazoea!
Kwa hiyo pumba zilizopo pale juu kwenye msimamo wa ligi kwa sasa ziendelee kukesha kwa kusheherekea hako ka-chance ka kukaa kwenye apex kabla ya mwenye napo hajaja!