mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,385
- 680
- Thread starter
- #81
Anaelezea historia yake ya siasa na kugombania ubunge toka mwaka 2005..
Naona wanaponda kila kitu...
Inabidi CDM waongeze kasi, hii kasi hairidhishi kwani kuna maeneo mengi yanahitaji hii huduma ya M4C kwa sana.
Anasema miaka ya nyuma huko kusini akina mzee Ndesamburo walipata tabu hata gest zilikua zinawakataa..
Pesa nayo ni tatizo....Inabidi CDM waongeze kasi, hii kasi hairidhishi kwani kuna maeneo mengi yanahitaji hii huduma ya M4C kwa sana.
Umeona eeee yaani kama upo maeneo ya Mwamashele, Itilima na Mwaweja. Kidogo Migunga wana diwani wa CDM.Mfano mzuri wasukuma,waje kishapu huku
Umeona eeee yaani kama upo maeneo ya Mwamashele, Itilima na Mwaweja. Kidogo Migunga wana diwani wa CDM.