mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,376
- 672
- Thread starter
- #61
Anazungumzia swala la udini.. Linavyoligawa taifa hili..
Mwitikio ni mkubwa sana, ukumbi unaelekea kua mdogo.. Bado tunawasubiria makamanda LEMA, DR SLAA, MBILINYI.. Nk
pipoooz..
Anaponda CCM kwa kupandikiza mbegu ya udini, unaligawa taifa hili..
zingine hizi hapaTuoeni habari, sisi waumini wa chadema tunapenda habari kama hizi.