mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,385
- 680
Mwitikio ni mkubwa sana, ukumbi unaelekea kua mdogo.. Bado tunawasubiria makamanda LEMA, DR SLAA, MBILINYI.. Nk
pipoooz..
pipoooz..
chadema ndio nuru iwamulikayo watanzania. Nakuja muda huu hapo.
Iyo ni dar au? Manake hata mwanza cku hiz tuna cbe na dit. Kila la kheri makamanda.
That's great!! Wakati Nape anaalika wasanii waimbe kuvutia watu kwenda mkutanoni kwa makamanda wasanii wanaburudisha kwa nyimbo za ukombozi...Msanii ambae ni mwanafunzi wa Dit, amezindua CD yake yenye nyimbo mbalimbali za Chadema..
Pipoooz
That's great!! Wakati Nape anaalika wasanii waimbe kuvutia watu kwenda mkutanoni kwa makamanda wasanii wanaburudisha kwa nyimbo za ukombozi...
Mbona 2015 ni mbali sana wajameni
Mwitikio ni mkubwa sana, ukumbi unaelekea kua mdogo.. Bado tunawasubiria makamanda LEMA, DR SLAA, MBILINYI.. Nk
pipoooz..
Hapo kwenye red; si tumejulishwa humu humu kwamba Lema leo yuko Iringa? Huyu jamaa kweli ni noma; alivyowavuruga magamba anastahili Ph.D. ya heshima.
Msanii ambae ni mwanafunzi wa Dit, amezindua CD yake yenye nyimbo mbalimbali za Chadema..
Pipoooz
Hapo kwenye red; si tumejulishwa humu humu kwamba Lema leo yuko Iringa? Huyu jamaa kweli ni noma; alivyowavuruga magamba anastahili Ph.D. ya heshima.