kumbuka kupiga kuraa na kulinda kura
otherwise kila heri katika uchaguzi huu
kamanda kwa kuwa huo ni ukanda wako natarajia usogee karibu na kutupa updates na pia kuwatahadharisha makamanda wanaosimamia kura zetu mkuu! huwa na appreciate sana kazi yako!kama wewe ni wakala mchunge sana wakala wa ccm,cuf na msimamizi wa tume wote lao moja..
Heshima kwenu wote, sasa maofisa wa tume ya uchaguzi wameanza kuja na baadhi ya polisi nao naona wanaingia. Kupiga kura kutafuata baadaye saa moja.
"Mwizi siku zote huwa anaona wenzake nao ni wezi"
kwisha habari yenu magamba,ni wakati wenu wa kulia na kusaga meno!Mwizi siku zote huwa anaona wenzake nao ni wezi
Safi sana mkuu hawa majambazi usipo jipanga wanawaliza mchana kweupe nakumbuka uchaguzi wa Arumeru kuna mwenyekiti wa mtaa alijidai kutishia watu vijana walimfanyiakazi natumaini hata kaa arudia ujinga huo...Mkuu Crashwise siko kwenye uwakala ila nimeamua ku-volunteer na ku-mobilize vijana tulinde kura. Tuko hapa kuiadabisha CCM.