Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
Ehehehehehehe ... thats too funny!kutaka kujua mchezaji gani katoka Zenji kama siyo ubaguzi ni nini? Mwishowe utataka kujua ni waislamu au wakristo wangapi wako timu ya taifa.
Ehehehehehehe ... thats too funny!kutaka kujua mchezaji gani katoka Zenji kama siyo ubaguzi ni nini? Mwishowe utataka kujua ni waislamu au wakristo wangapi wako timu ya taifa.
Sina hakika sana, wengine watanisahihisha kama nimekosea.... timu 5 toka Africa zitapata tiketi ya kwenda Brazil kushiriki kombe la dunia 2014. Sasa hivi kuna makundi 10. kila mshindi wa kundi; yaani nchi kumi zitacheza mtoano, yaani nyumbani na ugenini, kisha washindi wa hapo ambao ndio hao watano wanatakiwa ndio wataenda kwa Maximo.kwa anaefahamu naomba anijulishe...Ivi kwa timu itakayoongoza kundi lake nikwamba inafuzu moja kwa moja au kuna mchakato mwingine?
kwa anaefahamu naomba anijulishe...Ivi kwa timu itakayoongoza kundi lake nikwamba inafuzu moja kwa moja au kuna mchakato mwingine?
Sina hakika sana, wengine watanisahihisha kama nimekosea.... timu 5 toka Africa zitapata tiketi ya kwenda Brazil kushiriki kombe la dunia 2014. Sasa hivi kuna makundi 10. kila mshindi wa kundi; yaani nchi kumi zitacheza mtoano, yaani nyumbani na ugenini, kisha washindi wa hapo ambao ndio hao watano wanatakiwa ndio wataenda kwa Maximo.
kuna kipa yule mwadini....wengine sikumbukiAu ndiyo wameshajitoa muungano kinamna?
Sasa nimefanya ubaguzi gani?
kuna kipa yule mwadini....wengine sikumbuki
Bravoo Taifa Stars kwa ushindi wa leo dhidi ya Gambia!!!
Sina hakika sana, wengine watanisahihisha kama nimekosea.... timu 5 toka Africa zitapata tiketi ya kwenda Brazil kushiriki kombe la dunia 2014. Sasa hivi kuna makundi 10. kila mshindi wa kundi; yaani nchi kumi zitacheza mtoano, yaani nyumbani na ugenini, kisha washindi wa hapo ambao ndio hao watano wanatakiwa ndio wataenda kwa Maximo.