saitama_kein
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 981
- 99
Ukisikia watu na viatu ndiyo huyu.........................Simba Koko kabong'oa mapemaaaaa....
teh teh mbogho kitee fasi ya kuyamba...myuuuuu
Ukisikia watu na viatu ndiyo huyu.........................Simba Koko kabong'oa mapemaaaaa....
teh teh mbogho kitee fasi ya kuyamba...myuuuuu
hapa tunarudi kipinda cha pili mithili ya red devilKwenye soka lolote linawezekana, ila Simba wana hali ngumu zaidi mpaka sasa
Its Half time Simba 0 - 1 TP Mazembe
Achana na ushabiki wa uyanga na usimba, hata mimi ni yanga damu, tumetolewa shirikisho kilichobaki ni kutanguliza uzalendo na kuishaingilia simba, mazembe hatuna undugu nayo, tubadilike wabongo soka letu likue. Kwa sasa Simba wanapeperusha bendera ya Tz na Mazembe wanapeperusha ya Congo. Ni wakati wa kuungana kama watanzania.mimi ni yanga ! Huwezi kunilazimisha nimshangilie simba huko ni kuua demokrasia tuacheni tuizomee simba ili nadhani itawasaidia zaidi
Kwakweli hapa nasubiria maajabu ya soka yatokee,kimchezo simba wamecheza vizuri ila tumezidiwa kimbinu maana ishu sio vipaji tu bali mbinu za kiweledi ambazo kwa michuano mazembe waliyoshiriki hatuwawezi ingawa vipaji vya wachezaji kama vinalingana.Kwenye soka lolote linawezekana, ila Simba wana hali ngumu zaidi mpaka sasa
Its Half time Simba 0 - 1 TP Mazembe
Kwenye soka lolote linawezekana, ila Simba wana hali ngumu zaidi mpaka sasa
Its Half time Simba 0 - 1 TP Mazembe
Achana na ushabiki wa uyanga na usimba, hata mimi ni yanga damu, tumetolewa shirikisho kilichobaki ni kutanguliza uzalendo na kuishaingilia simba, mazembe hatuna undugu nayo, tubadilike wabongo soka letu likue. Kwa sasa Simba wanapeperusha bendera ya Tz na Mazembe wanapeperusha ya Congo. Ni wakati wa kuungana kama watanzania.
I really like this comment...................Achana na ushabiki wa uyanga na usimba, hata mimi ni yanga damu, tumetolewa shirikisho kilichobaki ni kutanguliza uzalendo na kuishaingilia simba, mazembe hatuna undugu nayo, tubadilike wabongo soka letu likue. Kwa sasa Simba wanapeperusha bendera ya Tz na Mazembe wanapeperusha ya Congo. Ni wakati wa kuungana kama watanzania.
Simba biko aye? muliwaza TP ni ba musician pekee? Banapigaga na kabumbu byee kabisa, leo mutasikia butamu leo! bataawapiga! hapo hapo kunyumba
Lazima mazembe bacheze kiduku leoSimba biko aye? muliwaza TP ni ba musician pekee? Banapigaga na kabumbu byee kabisa, leo mutasikia butamu leo! bataawapiga! hapo hapo kunyumba
Kocha ananafasi yake tena kubwa, angalia jana mpaka dkk 65 wako nyuma goli 2 angalia kilicho fata..katika mazingira halisi phiri sijui atafanya nini zaidi ya wachezaji kuamua liwalo liwe sasa mbele kwa mbele mpaka kieleweke
mpira haujaisha badoMatokeo pls