Live Updates: SIMBA Sports Club vs TP Mazembe

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,377
58,384
Leo ndio leo asiye na mwana(kandambili) abebe jiweee,
iwe isiwe lazima kombe linyakuliwee,
hii ni mechi kali ,
kati ya mnyama na timu tp wazembe,
mechi inachezwa leo jumapili tr 03/04/2011
 
Matatizo ya Usimba na Uyanga yametufanya Watanzania tuendelee kufungwa kama wendawazimu.

Watanzania hatuna uzalendo inapofikia timu binafsi zinacheza kuwakilisha nchi, utakuta Yanga wanashabikia Mazembe km was******n***e vile! Mijitu na akili zao yanasahau kuwa hapo inayocheza ni Tanzania na siyo Simba, simba inakuwa ni jina tu, lakini unakuta mijitu mizima na ndevu hadi mk**** yanapiga kelele kushabikia Mazembe. Aibu kubwa na tutaendelea kufungwa daima.

na hali hii si kwa Yanga tu kuzomea Simba, bali pia Simba wana tabia hiyo hiyo ya Ki-maniac, kuwazomea Yanga wakiwa na mechi za Kimataifa.

Hii ni sawa na kumwona baba yako yuko mtupu unaanza kucheka ni laana tupu.

Mie inaniuma sana kuona Watz hatuna utaifa, hatuna umoja inapokuja ktk mslahi ya Taifa letu. na haya yamechangiwa na mengi, kwani hata viongozi wetu wako katika mkumbo huo huo. Unakuja jitu kiongozi lakini lina ushabiki wa kishenzi usio na manufaa yoyote kwa Taifa, mradi limesikika sauti tu. Hii inanikera sana tena sana, natamani hata sunami ije iwameze watu wa tabia hii wapotee kabisa. Sina hamu na watu wa hivyi natamani nikawafungie senyenge jangwani wakauke kwa kiu.

Ndio maana hata maendeleo hakuna, sababu za ushabiki usio na maslahi kwa taifa, kuanzia siasa, udini, ikabila, ufisadi, uzinzi, ufataki n.k Kwa kuendekeza mambo haya hatuwezi songa mbele hata siku moja. Tutakuwa wapiga kelele tu na kuishia kunywa pombe na kucheza ngoma.

Tuache ushabiki usio na manfufaa, tutafakari mambo kabla ya kujiweka washabiki wasio na mwelekeo.

Usimba na Uyanga tusipouua katika mechi za kimataifa tuaishia kufungwa tu kila siku hata km wachezaji wetu watajituma kwa moyo mmoja. Hamasa huwatia nguvu wachezaji na huongeza ari ya ushindi lakini siyo zomea zomea isiyo na maana.
TUBADILIKE KWANZA
 
Kumbe ni TP WAZEMBE.....hawatoki taifa kesho bila ya kichapo cha 2-0!! SIMBA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Mkuu cha Muhimu ni kujiandaa na game ya kesho tuachane kwanza na story za kuhonga marefa

Hii ije baadae tayari tunaushindi tusijebweteka na wa mezani tukaacha kukaza msuli kiwanjani

Kesho ni kutafuta goli 2 - 0 kesho then hayo mengine baadae
 
Matatizo ya Usimba na Uyanga yametufanya Watanzania tuendelee kufungwa kama wendawazimu.

Watanzania hatuna uzalendo inapofikia timu binafsi zinacheza kuwakilisha nchi, utakuta Yanga wanashabikia Mazembe km was******n***e vile! Mijitu na akili zao yanasahau kuwa hapo inayocheza ni Tanzania na siyo Simba, simba inakuwa ni jina tu, lakini unakuta mijitu mizima na ndevu hadi mk**** yanapiga kelele kushabikia Mazembe. Aibu kubwa na tutaendelea kufungwa daima.

na hali hii si kwa Yanga tu kuzomea Simba, bali pia Simba wana tabia hiyo hiyo ya Ki-maniac, kuwazomea Yanga wakiwa na mechi za Kimataifa.

Hii ni sawa na kumwona baba yako yuko mtupu unaanza kucheka ni laana tupu.

Mie inaniuma sana kuona Watz hatuna utaifa, hatuna umoja inapokuja ktk mslahi ya Taifa letu. na haya yamechangiwa na mengi, kwani hata viongozi wetu wako katika mkumbo huo huo. Unakuja jitu kiongozi lakini lina ushabiki wa kishenzi usio na manufaa yoyote kwa Taifa, mradi limesikika sauti tu. Hii inanikera sana tena sana, natamani hata sunami ije iwameze watu wa tabia hii wapotee kabisa. Sina hamu na watu wa hivyi natamani nikawafungie senyenge jangwani wakauke kwa kiu.

Ndio maana hata maendeleo hakuna, sababu za ushabiki usio na maslahi kwa taifa, kuanzia siasa, udini, ikabila, ufisadi, uzinzi, ufataki n.k Kwa kuendekeza mambo haya hatuwezi songa mbele hata siku moja. Tutakuwa wapiga kelele tu na kuishia kunywa pombe na kucheza ngoma.

Tuache ushabiki usio na manfufaa, tutafakari mambo kabla ya kujiweka washabiki wasio na mwelekeo.

Usimba na Uyanga tusipouua katika mechi za kimataifa tuaishia kufungwa tu kila siku hata km wachezaji wetu watajituma kwa moyo mmoja. Hamasa huwatia nguvu wachezaji na huongeza ari ya ushindi lakini siyo zomea zomea isiyo na maana.
TUBADILIKE KWANZA

Kunya anye kuku akinya bata kaharisha usiangalie upande mmoja simba mna tabia hii sana tu hamna uzalendo hata mnaposhinda hamuishi kuwazodoa yanga NDO MAANA MNAZOMEWA KAMA MNAVYOZOMEAKA BADILIKENI,matusi hayatawasaidia sisi wote ni watanzania
 
Matatizo ya Usimba na Uyanga yametufanya Watanzania tuendelee kufungwa kama wendawazimu.

Watanzania hatuna uzalendo inapofikia timu binafsi zinacheza kuwakilisha nchi, utakuta Yanga wanashabikia Mazembe km was******n***e vile! Mijitu na akili zao yanasahau kuwa hapo inayocheza ni Tanzania na siyo Simba, simba inakuwa ni jina tu, lakini unakuta mijitu mizima na ndevu hadi mk**** yanapiga kelele kushabikia Mazembe. Aibu kubwa na tutaendelea kufungwa daima.

na hali hii si kwa Yanga tu kuzomea Simba, bali pia Simba wana tabia hiyo hiyo ya Ki-maniac, kuwazomea Yanga wakiwa na mechi za Kimataifa.

Hii ni sawa na kumwona baba yako yuko mtupu unaanza kucheka ni laana tupu.

Mie inaniuma sana kuona Watz hatuna utaifa, hatuna umoja inapokuja ktk mslahi ya Taifa letu. na haya yamechangiwa na mengi, kwani hata viongozi wetu wako katika mkumbo huo huo. Unakuja jitu kiongozi lakini lina ushabiki wa kishenzi usio na manufaa yoyote kwa Taifa, mradi limesikika sauti tu. Hii inanikera sana tena sana, natamani hata sunami ije iwameze watu wa tabia hii wapotee kabisa. Sina hamu na watu wa hivyi natamani nikawafungie senyenge jangwani wakauke kwa kiu.

Ndio maana hata maendeleo hakuna, sababu za ushabiki usio na maslahi kwa taifa, kuanzia siasa, udini, ikabila, ufisadi, uzinzi, ufataki n.k Kwa kuendekeza mambo haya hatuwezi songa mbele hata siku moja. Tutakuwa wapiga kelele tu na kuishia kunywa pombe na kucheza ngoma.

Tuache ushabiki usio na manfufaa, tutafakari mambo kabla ya kujiweka washabiki wasio na mwelekeo.

Usimba na Uyanga tusipouua katika mechi za kimataifa tuaishia kufungwa tu kila siku hata km wachezaji wetu watajituma kwa moyo mmoja. Hamasa huwatia nguvu wachezaji na huongeza ari ya ushindi lakini siyo zomea zomea isiyo na maana.
TUBADILIKE KWANZA

Hapo ndo penye utamu wa UTANI WA JADI kama ulikuwa hujui! Adui yako siku zote muombee njaa! Nenda nchi yoyote duniani, lazima kunakuwa na timu pinzani na hata siku moja hawawezi kushangiliana, yaani nishangilie adui yangu, haiwezekani kabisa! Leo nilikuwa pale kwenye hoteli ya TANSOMA, kuna wakongo kibao wamekuja kuishangilia timu yao na mimi nimeambulia t-shirt ambayo mgongoni imeandikwa TP MAZEMBE na kifuani SUPPORTER AVEI! Kama mlivyotuzomea kwenye mechi yetu na DEDEBIT na sisi itakuwa hivyo hivyo! Mwisho wa siku sioni mshangiliaji anachangia vipi matokeo ya uwanjani kama wachezaji wanafanya madudu??!! Rage naye asijue jana ilikuwa Fool's Day anakurupuka kama ilivyotokea mwaka fulani hapo nyuma aliposhabikia ujio wa Ruud Gullit kule Kenya, kwenye kipindi kile cha Paschal Mayalla cha KITIMOTO live kwenye ITV, asijue ilikuwa joke ya kwenye magazeti siku kama hiyo ya 1st April! Poleni Dioko Kaliyutuka lazima awatungue kama alivyowafanyia wale walatin amerika Inter kwenye FIFA world club championship!
 
Kufikiria tu (achilia mbali kuwa na matumaini) kuwa eti Simba hii ya akina Nyoso itaishinda TPM kunahitaji mtu afanyiwe sanity check!
 
acheni hizo mnakuwa na imani za ajabu! Simba anaweza kumfunga mazembe
 
mimi ni yanga ! Huwezi kunilazimisha nimshangilie simba huko ni kuua demokrasia tuacheni tuizomee simba ili nadhani itawasaidia zaidi
 
Simba kesho fanya kweli, endeleza mambo yetu yaleee ya kuwanyanyasa mabingwa watetezi
 
mimi ni yanga ! Huwezi kunilazimisha nimshangilie simba huko ni kuua demokrasia tuacheni tuizomee simba ili nadhani itawasaidia zaidi
Kwa mtaji huu Tanzania itaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu daima.....................
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom