Misa ya Maziko ya Kardinali Rugambwa inaendelea katika kanisa la Kashozi nje ya mji wa Bukoba, baada ya misa yatafuata maandamano kuelekea kanisa Kuu la Bukoba yatakapofanyika maziko rasmi.
Misa imeongozwa na Askofu Thadeus Ruwaich kutoka jimbo la Mwanza na imeisha muda mfupi uliopita, Watu ni wengi, mvua ya wastani inapiga.
Kanisa atakamozikwa mjini Bukoba.
Nshomila bana, kwenye wasifa wa Marehemu Mwadhamu Kardinali Rugambwa wameanza na 'alizaliwa kwenye aristocratic family!
Mbele ya kanisa kama sikosei hilo ni bango la Vodacom. Linafanya nini hapo mbele ya jengo zuri namna hiyo? mbona wanaharibu mandhari bana?? waweke bango sehemu nyingine lakini siyo mbele ya jengo la kanisa. Inashusha hadhi.