Live Updates: Misa ya Maziko ya Kardinali Rugambwa kanisa la Kashozi - Bukoba

RIP Rugambwa.Kardinal wa kwanza kutoka africa,ulikuwa jembe utakumbukwa vizazi hadi vizazi
 
Ndio amefariki or what coz (1912-1997) inanichanganya coz now ni 2012.
 
Jamani wenye adds ya kinachoendelea tupeni picha wengine tunasikiliza tu radio online bila picha.
 
Kwa taarifa: Kituo Kikuu cha Polisi Bukoba kimeangaliana na Kanisa kuu la Bukoba utakapozikwa rasmi mwili wa Kardinali Rugambwa.
Mkuu hapo kwenye red unahakika ulichoandika?
 
Upumzike kwa amani Baba mkuu wa kiroho Mwafrika kwa Afrika na Tanzania kwa ujumla. R.I.P MWADHAMA KARDINAL RUGAMBWA LAUREAN.
 
mlio kwenye eneo la tukio plz tupia zaidi picha tuone coz tuliombali tunasikiza tu maneno kupitia radio maria. Plz tupia picha zaidi tuone.
 
Mimi kama wewe sielewi kinachoendelea.

Kwa wale wasiofahamu, Kanisa Katoliki walitamani Kardinali azikwe kwenye Kanisa Kuu la Bukoba ambalo yeye mwenyewe alianzisha harakati za kulijenga upya kabla ya kifo chake mwaka 1997. Kwa hiyo toka wakati huo kanisa lilikuwa liko kwenye ujenzi, zaidi ya miaka 15 sasa. Pili, mwaka huu 2012, ni miaka 100 toka kuzaliwa kwa Kardinali Rugambwa, 1912. Kwa ufupi Kanisa Katoliki halikurupuki, kila tukio lina historia yake muhimu.
 
Maandamano ya kupeleka mwili ya Kardinali Rugambwa katika kanisa kuu la Bukoba kutoka Kanisa la Kashozi yanaendelea.

Wanaweza kuwasili baada ya saa moja kuanzia sasa kutokana na wingi wa watu waliojipanga barabarani huku magari yakienda taratibu sana.

attachment.php

attachment.php

attachment.php


attachment.php

Maziko ya Rugambwa hatua kwa hatua picha zinafuata,Pinda ndo amewasili uwanja wa ndege wa Bukoba muda mfupi uliopita.Taarifa ni kuwa hatashiriki maziko ya Rugambwa badala yake atahudhuria misa ya kesho baada ya kupokewa anakwenda kupokea taarifa ya Mkoa wa Kagera Ikulu ndogo na kupumzika
 
Kumbe Bukoba bonge la mji eeeh !!!
RIP CARDINAL WETU. TANZANIA ULIOIACHA IMECHACHUKA NA KUJAA MAJARIBU.
Ahsanteni wakuu kwa updates.
 
attachment.php
attachment.php


attachment.php
attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php

attachment.php



Mwili wa Kardinali Rugambwa tayari umewekwa katika kaburi ndani ya Kanisa kuu la Bukoba, ambapo maaskofu wachache wameweka mashada wa Maua wakiongozwa na Kardinari wa Uganda Emanuel Kiwanuka.

Katika tukio hilo hakukuwa na uwakilishi wowote wa Serikali.

Ndani yupo Profesa Tibaijuka ambaye naye amepitia hapa kitokea jimboni kwake ambapo jana alikuwa katika uchaguzi wa NEC ya CCM na alifanikiwa kupenya katika uchaguzi huo. Waziri Mkuu Mizengo Pinda tayari yuko Ilkulu ndogo akipokea taarifa ya Mkoa na hatakwenda kanisani mpaka kesho pia ameongozana na Wiliam Lukuvi.

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • HATUA.jpg
    HATUA.jpg
    28.6 KB · Views: 649
  • HATUA 2.jpg
    HATUA 2.jpg
    21.5 KB · Views: 651
  • HATUA 3.jpg
    HATUA 3.jpg
    18.8 KB · Views: 643
  • HATUA 4.jpg
    HATUA 4.jpg
    20.7 KB · Views: 644
  • HATUA 5.jpg
    HATUA 5.jpg
    25.5 KB · Views: 630
  • HATUA 6.jpg
    HATUA 6.jpg
    28.3 KB · Views: 636
  • HATUA 7.jpg
    HATUA 7.jpg
    26.7 KB · Views: 644
  • HATUA 9.jpg
    HATUA 9.jpg
    31 KB · Views: 647
  • HATUA 10.jpg
    HATUA 10.jpg
    29.8 KB · Views: 668
  • HATUA 11.jpg
    HATUA 11.jpg
    15.4 KB · Views: 638
  • HATUA 13.jpg
    HATUA 13.jpg
    32.6 KB · Views: 631
  • HATUA 12.jpg
    HATUA 12.jpg
    20.2 KB · Views: 644
Ndio amefariki or what coz (1912-1997) inanichanganya coz now ni 2012.

Alifariki 1997 na kuzikwa kwa muda katika Kanisa la parokia ya Kashozi akisubiri Kanisa Kuu la jimbo liishe ukarabati ili azikwe rasmi kwenye kanisa hilo. Ndilo linafanyika leo. Kwa mapokeo ya Kanisa Katoliki, askofu anaweza kuzikwa kwenye kanisa la kiaskofu yaani Kathedrali
 
Asante sana mkuu ndo kwanza naipata, nimesikia kuwa Rutechura ameteuliwa kuwa Monsignor wa nne wa Jimbo la Bukoba. Kwasasa ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kikatoliki Africa mashariki na Kati (CUEA), Kuna Justinian, Bamanyisa na David Mubirigi nao ni mamonsignor. Mubirigi alikuwa rector wa Seminari kuu ya Segerea. Kwasasa ni Makamu wa baba Askofu wa jimbo la Bukoba!!!!!
 
Asante sana kwa taarifa. Tunamuombea kwa Mungu amulaze mahali peme peponi, Aaaaaaaaaaaamina.
 
attachment.php


attachment.php


attachment.php


Misa ya maziko ya Kardinali Rugambwa imemalizika na watu wameanza kutawanyika.

Profesa Tibaijuka ni kiongozi wa Serikali aliyepewa nafasi ya kuongeza ambapo amejisifu kuwa miongoni mwa wasichana wa mwanzo waliosomea sekondari ya Rugambwa iliyoasisiwa na Kardinali Rugambwa.

Pinda yuko Bukoba hakunusa hata eneo la tukio anasubiri kuhudhuria misa kesho na jioni kurudi Dar.
 

Attachments

  • TIBA.jpg
    TIBA.jpg
    29.1 KB · Views: 606
  • TIBA 2.jpg
    TIBA 2.jpg
    29.9 KB · Views: 652
  • TIBA 4.jpg
    TIBA 4.jpg
    25.6 KB · Views: 662
Back
Top Bottom