sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Mashindano ndo yameanza, majaji ni madam Ritha, Master J na Banana.. wasaidizi ni Fid Q, Barnaba na mwingne.. Show imefunguliwa na Amina Chibaba na wimbo wake "subira ya moyo".. Amepata max 10 ktoka kwa fid, 9 toka kwa banana na 10 toka kwa unknwn judge..
Kafuatia Elizabeth Mwakijambile na wmbo wake "nifanyeje"
Kafuatia Elizabeth Mwakijambile na wmbo wake "nifanyeje"