kamtu33
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 999
- 405
Dodoma inawenyewe kama uamini uliza kilichomkuta lema kule tabata, na mnyika wakati anafungua matawi ubungo. Ni jf walimuokoa kwa kutotoa picha za mkutano
Uliza uambiwe tabata kulikua na watu wengi sana, Lema ni noma ningekupa picha ila natumia simu najalibu ku-upload inagoma