Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Ha ha ha !, nasubiri kusikia excuse za Game Fatique, miguu kuvimba kwenye ndege etc, na zile ashes zikijirudi sijui itakuwaje Mkubwa..?
Hakuna kitu kama hicho tushazoea.tunamaliza biashara round ya kwanza mechi za marudiano zote tunawapa reserve.