mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Kwa speed si shida sana coz most of our networks zinasupport vizuri tu. Nyingi ni kati ya 200-800bit/sec wakati mitandao yetu inafikia zaidi ya 1MB/sec. Shida iliyopo ni gharama ya hizo bites. Jaribu kwanza uone kama itakufaa mkuu. Lakini kiukweli ni ghali sana.
mbona mkiuziwa line za free net kununua hamtaki mnalalamikia tu ghali ghali, au mnaogopa dhambi...