Live Tbc1: Rais Kikwete anazungumza kuhusu muungano

Wa kusoma

JF-Expert Member
Jul 30, 2011
3,454
2,975
Kikwete yuko live tbc anahojiwa na Kissu khs miaka 50 ya muungano cha kushangaza anaongelea barabara zilizojengwa hlf anataja mikoa yote ya Tanganyika simsikii akizungumzia Zanzibar au huyu ni raisi wa mngano au Tanganyika?
 
Zanzibar ni nchi athubutu kuingilia mambo ya Zanzibar aone yatakayo mtokea, ni vyema kutambua kuwa Zanzibar ni chi ina Rais wake na mamlaka yake Kikwete hana mamlaka ya kuisemea Zanzibar
 
Mtakufa muungano mtauwacha.....pumbufu nyie tena muende mkautangazeeeeeee
 
Zanzibar ni nchi athubutu kuingilia mambo ya Zanzibar aone yatakayo mtokea, ni vyema kutambua kuwa Zanzibar ni chi ina Rais wake na mamlaka yake Kikwete hana mamlaka ya kuisemea Zanzibar
Pole kwa mtindio wa ubongo
 
Ndio maana mnaitwa vichaa! Kwanza sio live, ni marudio ya mahojiano yaliyofanyika juzi jioni!
Pili, Raisi anaongea kwa utaratibu kulingana na maswali na hilo la kuizungumzia Zanzibar lisubiri kwenye maswali ya mbeleni!
 
Mhe. Rais J.M.Kikwete,
Onyo lako kuhusu muungano ni sawa na ngonjera.
1. wewe unajua wazi kuwa umevunja katiba ya JMT halafu unatutisha kuwa tunaohoji muungano tutakiona unatumia katiba ipi?
2. Jana ilikuwa nafasi nzuri kwako kuwaambia watanzania sababu mahususi za muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
3. Ulitakiwa utuonyeshe kama sababu hizo mpaka leo na kwa mazingira ya sasa ni muhimu au la
4. Muda wa vitisho umeshapita na hata vitisho vyenyewe vitolewe na serikali inayojali watu wake lakini si hii ya ccm kwa maslahi ya ccm na wageni.
 
Kikwete yuko live tbc anahojiwa na Kissu khs miaka 50 ya muungano cha kushangaza anaongelea barabara zilizojengwa hlf anataja mikoa yote ya Tanganyika simsikii akizungumzia Zanzibar au huyu ni raisi wa mngano au Tanganyika?

Ivi, kuna kitu gani serikali ya Muungano imefanya Zanzibar katika kuiendeleza? Maana Barabara zote Zanzibar zinatengezwa na SMZ, airport ni SMZ, bandari nayo ni effort za SMZ, umeme ambao unatoka uko Tanganyika basi ni effort ya SMZ, tena inauziwa umeme, kwaiyo siwezi kusema kuwa umeme zanzibar umeletwa na Tanzania. Naombeni munambie ni kwanini SMT haijengi miradi ya maendeleo Zanzibar? Muungano huu ni upumbavu mtupu....
 
Mhe. Rais J.M.Kikwete,
Onyo lako kuhusu muungano ni sawa na ngonjera.
1. wewe unajua wazi kuwa umevunja katiba ya JMT halafu unatutisha kuwa tunaohoji muungano tutakiona unatumia katiba ipi?
2. Jana ilikuwa nafasi nzuri kwako kuwaambia watanzania sababu mahususi za muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
3. Ulitakiwa utuonyeshe kama sababu hizo mpaka leo na kwa mazingira ya sasa ni muhimu au la
4. Muda wa vitisho umeshapita na hata vitisho vyenyewe vitolewe na serikali inayojali watu wake lakini si hii ya ccm kwa maslahi ya ccm na wageni.

Tusikubali kubaki vipande vipande tuimarishe muungano wetu. Tuondoe zile kasoro zilizoonekana. Ni fahari kuwa na muungano ambao tumeuasisi wenyewe na mataifa mengine wanautamani.
 
nampongeza sana Rais wetu kwa kuwaonya hawa mashetani wavunja muungano. Onyo liwaendee Warioba and the Company
 
Tusikubali kubaki vipande vipande tuimarishe muungano wetu. Tuondoe zile kasoro zilizoonekana. Ni fahari kuwa na muungano ambao tumeuasisi wenyewe na mataifa mengine wanautamani.

hakika Mkuu. Kuna watu wanatamani muungano wetu uvunjike lakini katu hawataweza
 
wewe kenyamanyori, najua umezuga tu. Wewe ni Kenya in Nyeri. Kufilia mbali na hizo njama zenu za kutaka kutugombanisha Watanzania
 
Kikwete yuko live tbc anahojiwa na Kissu khs miaka 50 ya muungano cha kushangaza anaongelea barabara zilizojengwa hlf anataja mikoa yote ya Tanganyika simsikii akizungumzia Zanzibar au huyu ni raisi wa mngano au Tanganyika?

hivi umesikiliza hotuba ya jana au kukurupuka tu? Halafu hiyo unayoangalia si live? Imeshawekwa tbc mara kibao
 
Tusikubali kubaki vipande vipande tuimarishe muungano wetu. Tuondoe zile kasoro zilizoonekana. Ni fahari kuwa na muungano ambao tumeuasisi wenyewe na mataifa mengine wanautamani.

Hii miundo:-

1. serikali mbili= vipande viwili?

2. Serikali tatu = vipande vitatu?

Kama ndivyo nimuunganogani utatuhakikishia kutokuwepo vipande? Dhana ya vipandevipande au kuvunja muungano ni uwongo, ubabaishaji na upotoshaji wa dhana halisi ya neno muundo wa muungano unaopendekezwa. Muundo upi hautakuwa na vipande? Viwili, vitatu au zaid?
 
Ndio maana mnaitwa vichaa! Kwanza sio live, ni marudio ya mahojiano yaliyofanyika juzi jioni!
Pili, Raisi anaongea kwa utaratibu kulingana na maswali na hilo la kuizungumzia Zanzibar lisubiri kwenye maswali ya mbeleni!

pamoja sana Mkuu. Hongera kwa kumpa za uso
 
Back
Top Bottom