tunaomba mtujuze kinachojiri huko wadau
nape bado kavaa kikamanda,basi akae vizuri...kapanua sana miguuuu
namuona nape akiiumbua CCM kwamba wanakuja watu kutoka sem za mbali kweny kampeni lihali si wapiga kura, wakati wao ndo hukodi maroli kurundika watuhata akipanua miguu kuna tatizo gani kwani ni gauni? hebu tueleze mambo ya maana huko sisi ambao ccm haijatuwezesha kuwa na umeme kwa ajili ya kuwasha tv zetu. huku kwenye jimbo la wasira ni giza tupu
hakuna CDM ambao wana huo mchezoMyika anashauri ununuzi wa vitambulisho ukome, uboreshwaji wa daftari uwe na lengo la endelevu, msingi wa upigaji kura uwe kwenye daftari la kupiga kura, na si kwenye kadi, ili mtu akipoteza kadi lakini awepo kwenye daftari awezeshwe kupiga kura kwa taratibu muafaka.