Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
Bofya hapa upate kusikiliza Live
http://www.dullonet.com/dullonet-live/
http://www.dullonet.com/dullonet-live/
hapo chachaTunaotumia mobile je?
Tundu Lissu, Saidi Mkumba na Mhe. Mbarouk wakiwa Studio za Dodoma
Neno dhaifu ni la kawaida sana mbona Mh. Mbowe alilitumia mara kadhaa jana bungeni akisema serikali dhaifu lakini spika (Makinda) hakumwambia kutoa maneno hayo ni kwa sababu Mbowe alikuwa anaanza kuzungumzia mapungufu ya serikali kabla ya neno dhaifu lakini Mnyika alikuwa anaanza na neno Jk ni dhaifu kabla ya kueleza kwa nini dhaifu na kuonekana kama personal attack.