Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Dk 48 simba kafungwa 2
vichwa vya wendawazimu
Dk 48 simba kafungwa 2
Wazee japo soka la bongo linanikera sana.....leo nitaufuatilia hu mtanange....nawaombea simba washinde......mji wa setif ni baridi kali kwa sasa ni 9°C ambayo itawaathiri sana wana simba.....
Nimeandika jana simba walikwenda pamoja watarudi airport kwa mafungu laaana ya yanga ;lazima iwatafune leo na bado
Simba 1 setif 3 kwa matokeo haya chongo kaona mwezii sek 20 zimebaki hongera okwiiiiiiii mpira umekwishagoli la dk ya 91 kocha amebebwa hapa amefuzu na goli la ugenini
hongeren watani
Kafuzi simba
Simba 1 setif 3 kwa matokeo haya chongo kaona mwezii sek 20 zimebaki hongera okwiiiiiiii mpira umekwishagoli la dk ya 91 kocha amebebwa hapa amefuzu na goli la ugenini
hongeren watani
Simba 1 setif 3 kwa matokeo haya chongo kaona mwezii sek 20 zimebaki hongera okwiiiiiiii mpira umekwishagoli la dk ya 91 kocha amebebwa hapa amefuzu na goli la ugenini
hongeren watani