M Mdondoaji JF-Expert Member Mar 17, 2009 5,108 1,136 Nov 3, 2010 #21 Kikwete keshakuwa Rais au kaalikwa kama mwenyekiti wa CCM? Mbona hii ni kizunguzungu jamani? Anyway tunawatakia maisha mema wote
Kikwete keshakuwa Rais au kaalikwa kama mwenyekiti wa CCM? Mbona hii ni kizunguzungu jamani? Anyway tunawatakia maisha mema wote
Njowepo JF-Expert Member Feb 26, 2008 9,710 2,226 Nov 3, 2010 #22 JK ameenda kwenye sherehe kama nani?
M Mapinduzi JF-Expert Member Aug 23, 2008 2,422 94 Nov 3, 2010 Thread starter #23 Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Kikwete ni Rais hadi Rais mwingine atakapoapishwa.