jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Kama hatuna sera ambayo ndio mwongozo katika kuingia mkataba, hiyo mikataba iliyopo imeingiwa kwa kutumia sheria gani na ni nani aliyeamua hivyo na kwanini?
Je, atalipa fidia pale itakapoonekana ni alifanya makosa? Na asipofanya hivyo atachukuliwa hatua gani?
Huyu amehujumu uchumi, sheria ya uhujumu wa uchumi haipendekezi fidia, ni mvua za kutosha na kufilisiwa.