Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Habari za Jumanne ya leo wanaJF
Katika kipindi cha Tuongee Asubuhi Jumanne ya leo tutaangazia mabadiliko ya sera ya Posta Nchini ya Mwaka 2003 ambayo yalitoa uwepo wa uhitaji wa madailiko ya mfumo wa anuani za makazi na simbo za Posta nchini.
Mfumo huu unaoelezwa kuendana na hitajio la e-commerce, pia kukuza uchumi na kurahisisha mawasiliano kati ya serikali na wananchi wake unakabiliwa na changamoto nyingi.
Karibuni kufuatilia mjadala huo na kuuliza maswali yenu kwa viongozi wa TCRA watakaokuwepo STUDIO kufafanua na kujibu maswali yenu
Katika kipindi cha Tuongee Asubuhi Jumanne ya leo tutaangazia mabadiliko ya sera ya Posta Nchini ya Mwaka 2003 ambayo yalitoa uwepo wa uhitaji wa madailiko ya mfumo wa anuani za makazi na simbo za Posta nchini.
Mfumo huu unaoelezwa kuendana na hitajio la e-commerce, pia kukuza uchumi na kurahisisha mawasiliano kati ya serikali na wananchi wake unakabiliwa na changamoto nyingi.
Karibuni kufuatilia mjadala huo na kuuliza maswali yenu kwa viongozi wa TCRA watakaokuwepo STUDIO kufafanua na kujibu maswali yenu