Star TV
Member
- Jan 1, 2008
- 21
- 26
Ndugu Wana JF,
Tunapenda kuwatangazia kwamba, usiku huu, kuanzia saa tatu na nusu mpaka saa nne na nusu (21:30 - 22:30 EAT) tutakuwa na kipindi cha moja kwa moja (LIVE) kwenye station yetu ya Star TV.
Wageni wetu watakuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Tunapenda kuchukua fursa hii kuwaomba wale wote wenye maswali ambayo yanahusiana na kodi na utoaji stakabadhi za mauzo (risiti) wayaandike kwenye uzi huu ili mtangazaji wetu apate kutuwakilishia pale itakapofaa ndani ya kipindi hiki.
Aksanteni.
Tunapenda kuwatangazia kwamba, usiku huu, kuanzia saa tatu na nusu mpaka saa nne na nusu (21:30 - 22:30 EAT) tutakuwa na kipindi cha moja kwa moja (LIVE) kwenye station yetu ya Star TV.
Wageni wetu watakuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Tunapenda kuchukua fursa hii kuwaomba wale wote wenye maswali ambayo yanahusiana na kodi na utoaji stakabadhi za mauzo (risiti) wayaandike kwenye uzi huu ili mtangazaji wetu apate kutuwakilishia pale itakapofaa ndani ya kipindi hiki.
Aksanteni.