Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
JULIO, ADEN RAGE NA CRUSHWISE WANAWAKIMBIA WAANDISHI WA HABARI. hahahaaa...!!. Mia
Hapana, waliokimbia ni Mkwasa, Tenga na Bala ..
JULIO, ADEN RAGE NA CRUSHWISE WANAWAKIMBIA WAANDISHI WA HABARI. hahahaaa...!!. Mia
Timu zipo uwanjani sasa, nyimbo za taifa!
cecafa haiwezi kukubali tutolewwe......... watakula wapi?
Umekosa cha kuandika kaa kimyaaa
Haya mambo ya Usimba na uyanga ndio yanaiharibu timu ya taifa..
wewe figganigga sija kimbia. mimi ni mzalendo...hahaaha
Haya mambo ya Usimba na uyanga ndio yanaiharibu timu ya taifa..
Bala is always here....Hapana, waliokimbia ni Mkwasa, Tenga na Bala ..
hakuna cha mia wala buku......... tushapigwa katererro sasa ni kukojoa na kulala tu
Kwani hujui makocha wote wale ni simba damu? Mi nimefrahi sana tulivyo tolewa na fraha yangu itaendelea tukishika nafasi ya nne julio na mwenzie watakuwa wamefungwa midomo walitamka wazi eti hakuna mchezaji wa kumchukua yanga eti simba inaongoza ligi ndo inawachezaji wazuri kuliko timu zingine wamevuna walicho chagua.