Hakuna noma kabisa Mazee fungua Becks hizo na baadae in an hour nakuja na ZILIPENDWA.i feel you, i feel you! yanii hiii full mzuka bundersliga (germany)
wacha nifungue Becks yangu kabisaaaaa, thankx!
Sasa nitafungulia simu ili mpige kwa mtu ambaye anataka kuongea LIVE piga simu namba 312 957 6014.
YE,
Dj Dennis yupo kama kawaida kila Jumamosi mchana kuanzia 1pm til 2:30 CST,
Najikopa Mwenye,
Hakuna noma mazee tuko pamoja na nakuletea kitu ya Chidi,
Lusajo,
Nadhani unaisikia kitu yako.
Niko kazini hapa Kelly hahahahahaha.
Unless you are working from home but as far as i know huwezi kuwa mtamboni while working....as you kow what i mean dwag.
Kelly01 mbona huko hivyo lakini? Mazee GQ yupo job kama kawa.
By the way, hivi Wild Hare bado ina happen?
Yeha Qm wild hare bado ina happen kama kawaida aisee...ile itu ipo very alright i love live band,nkumbuka Innocent alikujaga kupiga pale wild hare a while back,Nikkutana na misanya bingi.
GQ hawezi kupasahau Wild Hare.... si unajua ana ubia pale....ha ha ha mazee wa "kusini"
Yeah GQ ana ubia na totoz za Ki-botswana/Zambia...LOL!..Oops GQ sorry nimeghafirika.
Khe...Botswana/Zambia nini tena? Hiyo ishu naona siijui. Mimi nilikuwa niliposema kusini nilikuwa namaanisha ile club ya kule South Side (siikumbuki inaitwaje...memory yangu mbovu kweli). Kule ambako wanafunga saa 2 asubuhi.
Mi nasubiri jioni atakapoanza kushusha mavitu ya kukata na shoka...
Halafu nachoma nyama leo....wote mnakaribishwa....