Huyo mwendesha kipindi alipata Division 4 Form 4. No wonder ameshindwa kuongoza kipindi kiakili na badala yake anaanza kuongelea mambo yasiyo na uhusiano kabisa na mada kuu. Amepata wageni wazuri ila yeye mwenyewe kilaza wa kutupwa. Kipindi kama hicho alitakiwa apewe Jenerali Ulimwengu. Watu wengine bwana.
KANU ya kenya, CCM ya Zambia,Gadafi wa Libya, Mubarak wa Misri nk walikuwa na wapambe wabishi kama wewePole kwa kujifariji na hadithi zako za Abunuasi hahahahaha
Nape anasema wapinzani wanajitafutia umaarufu tu nothing more
Mkuu, hivi utaitetea ccm hadi lini? kuitetea na kuishabikia ccm yahitaji uwe na akili za maiti! Je wewe ni maiti?zongolwa acha kujiaibisha na wewe na usipende kutetea kila kitu huyo Mrema leo kawaaibisha kabisa yaan imeonekana CHADOMO wengi n 0 kichwan ndio maana wenzako wale wenye akili kdg wako kimya hawachangii hata hili Bandiko.....Mrema kawaaibisha jamaa ni mweupe kabisa kichwani na ndio tabu hiyo ya kukremishwa pale kasahau kila kitu hahahahaha
Kipindi kimeisha....pongezi za dhati ziende kwa EATV na dada Prudence, pia shukrani za pekee ziende kwa Hemed
Msabaha na John Mrema. Nape kachemsha vibaya sana kwa kukosa hoja zenye mashiko
KANU ya kenya, CCM ya Zambia,Gadafi wa Libya, Mubarak wa Misri nk walikuwa na wapambe wabishi kama wewe
lakini mwisho wa siku wote walikubali matokeo yaliyofanywa na wananchi waliowengi. Nakutakia maisha marefu
ili uje kushuhudia ccm yako itakavyokuja kutupwa nje....time will tell, stay tuned
Wala sijifariji Mkuu, ila uelewa wa Nnauye, Nape Moses ninayemfahamu mimi hakustahili hata kuwa mjumbe wa NEC taifa kutokana na uwezo wake. Kwa uelewa wako ukishaona anguko utaanza kunielewa....
Siku za CCM kuwa madarakani zinaanguka na nape ana mchango mzuri sana kuhusu hili. Maandiko matakatifu yanasema OMBEA ADUI YAKO ILI AISHI SIKU NYINGI ILI UTAKAPOFANIKIWA AKUONE....(majibu jipe mwenyewe)
Mkuu, namuomba mungu kila siku huyu Nape aendelee hivihivi na akili hii hii ili atuletee ukombozi wa pili kupitia yeyeMkuu ulitegemea Nape aseme kitu pale mbele ya wale Manguli? Ni mweupeeeeeeeee kama theluji!!
Antidius anasema kwenye siasa za vyama vingi kutokea msuguano ni kitu cha kawaida...ila lazima tuwe na hoja mzuri
Nape anasema wapinzani wanajitafutia umaarufu tu nothing more
Mkuu,siyo siri unajua somtime huwa najiuliza hili swali: Hawa wanaoitetea serikali ya ccm wataitetea hadi lini?Mpe vidonge vyake huyo Desi Mangola. Watakimbia nguo hawana kabisa, wahame nchi. Hawa ni watoto wa mafisadi wanaogopa peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer
Mkuu, hivi utaitetea ccm hadi lini? kuitetea na kuishabikia ccm yahitaji uwe na akili za maiti! Je wewe ni maiti?
Kwahiyo mada ya malumbano ya vyama vya siasa ni ukuaji wa demokrasia imegeuka CHADEMA na mikutano yake, na mauaji yanayofanywa na polisi?
What a waste, hawa waongoza vipindi wanaojiremba kama wanaenda harusini hovyo kabisa.
Nape ameshindwa kabisa kuongea kitu kingine zaidi ya CHADEMA that and CHADEMA this?
Hana kitu kingine kabisa cha kuongea? Yani she. . .or sorry, he is so flat.
Mkuu, Nape na Mwigulu wanaumwa ugonjwa wa Chadema....yaani hakuna kitu ambacho wanakichukia hapa duniani kama CDM.Kwahiyo mada ya malumbano ya vyama vya siasa ni ukuaji wa demokrasia imegeuka CHADEMA na mikutano yake, na mauaji yanayofanywa na polisi?
What a waste, hawa waongoza vipindi wanaojiremba kama wanaenda harusini hovyo kabisa.
Nape ameshindwa kabisa kuongea kitu kingine zaidi ya CHADEMA that and CHADEMA this?
Hana kitu kingine kabisa cha kuongea? Yani she. . .or sorry, he is so flat.