Mtujuze maana mi nimetune ITV kuna malumbano ya hoja juu ya mswaada wa uundwaji wa katiba mpya.kuna Nkya na Bubelwa kwenye meza kuu.laikini anayoyasema mkama ni maandalizi ya mkutano wa NEC dodoma hivyo wanajaribu kuivuta jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.