Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Hali ikiendelea hivi kocha wa simba ipo siku atamtandika mwamuzi nakoz
Ni wazi kwamba Simba hana ubavu katika viwanja vya nje ya mkoa wa dsm.
Na hapo bado hawajakwenda kanda yab ziwa.
FT: MGAMBO JKT 0-0 SIMBA
Naona kocha wa Simba anawakoromea waamuzi
poleni sana mkia fans napita tu... one win tushakaa juu..
na leo imekula kwetu..
Naona Milovan alikuwa anawalalamikia waamuzi kwanini siku hizi hawawapi penalt
bora point 1 kuliko kupoteza point 3
Lakini pia Simba haijawahi kupoteza point zote tatu tangu ianze ligi. Angalau tunaokoteza hiyo point moja moja.Hii ni mechi ya 2 wapinzani wa Simba wanamaliza wakiwa kamili na Simba anashindwa kuondoka na points zote 3
Lakini pia Simba haijawahi kupoteza point zote tatu tangu ianze ligi. Angalau tunaokoteza hiyo point moja moja.