Asante sana CCM kwa sera nzuri za michezo naona medal lukuki Olympic
Mkuu hawahitaji kwenda Eldoret wakati mazingira ya aina hiyo yapo huko Mbulu. Tatizo la wanariadha wa hapa wanapenda kuishi na kufanyia mazoezi mjini ambako hakuna mazingira stahiki kwa long distance runners.
naona vyeti vya gidula vimepona. jamaa aliona mbali na tumsubiri bayi atuambie nini