Kudadadeki
Member
- Oct 7, 2010
- 70
- 3
Kuna a kind of Mdahalo unaendelea sasa hivi live from radio 1 na BBC Swahili. Umelenga wasanii na uchaguzi. Yupo Sugu (Mbunge Mbeya mjini), Kala Pina (Diwani- Kinondoni), Pr. Haroun, Dokii n.k
Dokii, amewaponda Watanzania kuwa yeye ni CCM Damu, hata msiponunua kazi zake, anasema poa tu- ki- mpango wenu !!!!!!
Dokii, amewaponda Watanzania kuwa yeye ni CCM Damu, hata msiponunua kazi zake, anasema poa tu- ki- mpango wenu !!!!!!