Mkumbo amemchana Tendwa Live tena bila chenga. Huku akiainisha ushahidi wa kitafiti ikiwa ni pamoja na Lema kushiriki 75% ya kampeni akionekana hero.
Huyu Mkumbo vp?
There is no court of law bana, kuna court of justice!!
Huyu Mkumbo vp?
There is no court of law bana, kuna court of justice!!
Huyu Mkumbo vp?
There is no court of law bana, kuna court of justice!!
Hivi Tendwa alipataje u-judge, was it from Mwinyi, or Ben..coz he seemed to be
mwanachama/shabiki mzuri wa chama tawala.
Najua wengi mshaacha kucheki TBCCM but just but that's what is happening Tatizo wanaongea english me siwapati coz nimetoka zile za kata na kingereza changu cha kichina aka feki.
Nimepata HayaNiambie japo kwa English yako usiyoiamini, wanasemaje?
Hivi Tendwa alipataje u-judge, was it from Mwinyi, or Ben..coz he seemed to be
mwanachama/shabiki mzuri wa chama tawala.
sio kila jambo unalikurupukia,fanya utafiti mdogo tuu then level your criticism.Plus ujue huyu ni Dr.Mkumbo!Huyu Mkumbo vp?
There is no court of law bana, kuna court of justice!!
This Week In Perspective
Tuangalie hivyohivyo mkuu tutakuwa tunaokota okota baadhi ya vijineno ukiunganisha lazima utapata picha nzima2 hi lugha bwana we acha tu! Asante kwa taarifa mkuu!