Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
mbowe hataki maboyaMwambie Mbowe amchukuwe kama umeumia sana.
mbowe hataki maboyaMwambie Mbowe amchukuwe kama umeumia sana.
mimi nimecheka, sijaumia........naona hujui maana kwasababu huna maana.Mwambie Mbowe amchukuwe kama umeumia sana.
mbowe hataki maboya
CCM hawana ubavu wakufanya maamuzi magumu...hali ni ileileTunasubiri kwa hamu hiyo orodha.je Lowasa na Chenge wamo!
le mutuz huyu huyu ***** wa humu?Le mutuuzi kapenya duuu!
mbowe hataki maboya
Mwanza yote watu wa EL.
mimi nimecheka, sijaumia........naona hujui maana kwasababu huna maana.
Hata KUWAJIBISHANA, KUKEMEANA, KUVUANA MAGAMBA hata KUFUKUZANA ndani ya CCM hakutakuwepo tena! Ndio maana jana Kikwete aliwaaambia wanaotaka kuondoka wafanye hivo haraka nadhani kwa kuwa wao sio wanafamilia, ndugu au marafiki!