Bunge limeahirishwa hadi saa kumi na nusu alasiri. Tutajua hapo baadaye.chadema wapo bungeni?
Pasco,
Naona "thread" imevamiwa na umeshindwa kuleta yanayojiri!
kuna kichekesho hapa!
hoja ya kutengua sheria ili Seif aingie imepita ha hakuna aliyesema sio,
wabunge wote wamecheka maana walijua CHADEMa wangesema siyo...ha!ha!ha!ha!ha!
Naam, lete habari zaidi.Werema anatoa hoja ya bunge kutengua sheria ili makamu wa kwanza bara. Maalim seif aruhusiwe kuingia.
hapa ndi utibitisho kuwa CUF ni sehemu ya serikali ya muungano kwa hiyo si wapinzani
Wanabodi,
leo ndio namalizia ile live ya ufunguzi rasmi wa Bunge la 10 unaofanywa na Rais wa JMT, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Kama ni kufurika, leo ndio Dodoma imefurika. Wakuu wote wa vyombo vyote vya Umma wako Dodoma, hapa bungeni ndio hapafai kabisa maana hata makundi ya malobbyst wote wako usawa huu.
Leo ni hadi magari ya wanabalozi, baada tuu yakuwashusha, wamefukuziwa mbali wakajitafutie maeneo ya kuegesha kule nje ya ukumbi wa Bunge, ng'ambo ya barabara, eti ndani hapatoshi!.
Huelewi na hutaelewa sijui unafanya nini humu. Kweli ni rais wa NEC hakuna anebisha lakini si rais wa Watanzania kwa maana wengi hawakumchagua.