davinho
New Member
- Feb 13, 2012
- 4
- 0
Kumuua mtu kwa kiwango kile haiwezi kuwa bahati mbaya...
Mwangosi amekufa kifo cha kimkakati... Bahati mbaya ni Ile mikakati ya kijinga kabisa kiasi kwamba hata mtoto anajua hili ni la kupanga.
Familia ya Mwangosi isimame kidete ikisaidiwa na wataalamu wa sheria na haki za binadamu kudai haki.
Mwangosi amekufa kifo cha kimkakati... Bahati mbaya ni Ile mikakati ya kijinga kabisa kiasi kwamba hata mtoto anajua hili ni la kupanga.
Familia ya Mwangosi isimame kidete ikisaidiwa na wataalamu wa sheria na haki za binadamu kudai haki.