PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Ndivyo alivyomaanisha.
exactly.
Ndivyo alivyomaanisha.
Nimekurupuka kutoka kwenye kikao kuwahi updates humu naona blah blah tu! imekuwaje leo JF tumeshindwa kurusha live hiyo hotuba?
Pande za Iringa...Ni kabila gani huyu? Bengi, marakebisho...
Ni kabila gani huyu? Bengi, marakebisho...
Mbona nimesikia ni miaka 8 hivi sasa badala ya miaka 10?magari chakavu zaidi ya miaka 10 yatalipiwa 20%
Nimekurupuka kutoka kwenye kikao kuwahi updates humu naona blah blah tu! imekuwaje leo JF tumeshindwa kurusha live hiyo hotuba?
Nashangaa leo sijui vipi humu ndani.Nimekurupuka kutoka kwenye kikao kuwahi updates humu naona blah blah tu! imekuwaje leo JF tumeshindwa kurusha live hiyo hotuba?
Nimekurupuka kutoka kwenye kikao kuwahi updates humu naona blah blah tu! imekuwaje leo JF tumeshindwa kurusha live hiyo hotuba?
sasa wale wenye majina marefu kama ngombalemwiru plate number itakuwa ndefu sana
Hata mimi nashangaa, ina maana serikalini hakuna watu wenye mawazo mapya? Kila siku ni kuongeza bei kwenye vinywaji tu.Mkuu bajeti ya kisanii tu, how comes govt itegemee au ione kwamba plate namba za magari zikiwa na jina la mtu ndio ku-widen tax base, mpumbavu mtupu huu, mimi nilitegema wangewabana kina barrick au kwenye watalii au uvuvi wa samaki, wamebaki na utegemezi wa bia na sigara. Mkuu hawa watu ni wapuuzi tu, yani utafikili ni ma-ZOMBIS.
Mbona nimesikia ni miaka 8 hivi sasa badala ya miaka 10?
Ndio maana yake.nauliza: hili ndio jembe la jk?
Nashangaa leo sijui vipi humu ndani.
Tutaendelea kutembelea baiskeli zetu za urithi....Yes, ni miaka 8 mkuu.
Ni kabila gani huyu? Bengi, marakebisho...