Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
- Thread starter
- #21
amekubali nini? mkuu wa wilaya?
Soma thread kabla ya kuchangia la sivyo utaonekana haunazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amekubali nini? mkuu wa wilaya?
Nani aliyekuwa anabisha?
Mbowe amezungumza kwa busara sana sana. Na amekubali wakuu wa wilaya waingie ndani ya marekebisho. Tunashukuru sana Mbowe kwa uzalendo wako na kukubali compromise sio kubisha kila kitu
Kwa nini tunaingiza siasa katika suala hili la katiba? tuelewe kwamba hawa watu ma DC na ma DED ni watumishi wa serikali.
Kwa nini tunaingiza siasa katika suala hili la katiba? tuelewe kwamba hawa watu ma DC na ma DED ni watumishi wa serikali.
hivi ni kweli mbowe amewasahau wakuu wa wilaya au anafanyeje sasa maana hawa watu ni wavurugaji wakubwa sana kwanza katiba mpya ilikuwa isiwatambue sasa utawatoaje maana huwezi pendekeza wasitambuliwe huku wakiwapale
imekwisha kabisa wewe jipange tu kupeleka maoni yako kwa DC au DED
Kwa nini tunaingiza siasa katika suala hili la katiba? tuelewe kwamba hawa watu ma DC na ma DED ni watumishi wa serikali.
Mh hebu weka wazi amekubali nini sasa, kwamba katiba ibakwe na CCM au?
Hapakuwa na jnsi kwani kilichokuwa kikifuata ni Spika kuwahoji wabunge wote kama wanakubalai au kukataa.Amekubali katiba mpya kubakwa na wakuu wa wilaya?
Mimi nafikiri chadema imepigana kwa nafasi yake kama chama, kazi ni kwenu watanzania kusimamia kile mnachokitaka bila woga: nikweli MaDC hawa ni wabakaji wakubwa wa Demokrasia na ndo wanaoogoza kwa kuwatisha wananchi huko wilayani, wanan nguvu kuliko mbunge kwenye jimbo! Ila Chadema hawawezi kutufanyia kila kitu, pale wanapopungua sisi wananchi tuatakiwa ku-cover! Sisi tuwasubiri hao MaDC mtaani wakileta mambo yao tunawaanzishia hukohuko! Kitendo cha CDM kuwaamini wakurugenzi thidi ya MaDC tayari ni devide and rule strategy!
wachambuzi wa mambo ya siasa hebu nijuzeni "CCM ina marupurupu gani kungangania kuwatumia Ma DC kwenye kura za maoni?" wakati wote tunajua Ma DC ndiyo makada numberi one wa chama cha Mapinduzi wilayani na hoa hao ndiyo huwa wanakula dili kuvuruga kampeni za vyama vya upinzani. Mama Kilango hebu tufafanulie utakosa maslahi gani kama tutawatumia wakurungezi wa wilaya badala ya hawa ma DC wako? , Je wakurungezi hawana Elimu na Uzoefu wa kutosha wa kushughulikia zoezi zima la upokeaji maoni ya wananchi? maana jana uliongea hadi unatoa machozi kwamba LAZIMA ma DC ndio wasimamie hili.
naomba ufafanuzi tafadhali labda mimi sijaipata mantiki ya CCM kwa ujumla.
Nani aliyekuwa anabisha?
Mapendekezo ya Serikali - ambayo ki-mantiki ni mapendekezo ya CHADEMA yanasema DEAD aingie, CCM wakabisha, wakakataa mapendekezo hayo........
Sasa wewe unaona hapo nani amepinga?
Au wakisema akina Kilango ndo inakuwa sheria, na yeyote anyesema tofauti anakuwa mpingaji?
busara zako zipo kwenye kisigino wewe!!!