nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
sasa huyu Mkamia ndio Ametumwa na Mafisadi wa kodi zetu aje atetee unyonyaji wa hali ya Juu, msikilize anavyoongopa,
Anasema Eti pesa ya anayolipwa kama sitting allowances anatumia kama pesa za mafuta, wakati anarudishiwa pesa za nauli/mafuta akifika Bungeni.
NARUDIA SIONI MBUNGE MAKINI CCM YOOTE, SIMUONI MTU MAKINI HATA KWA HAWA WANACCM MITAANI
Anasema Eti pesa ya anayolipwa kama sitting allowances anatumia kama pesa za mafuta, wakati anarudishiwa pesa za nauli/mafuta akifika Bungeni.
NARUDIA SIONI MBUNGE MAKINI CCM YOOTE, SIMUONI MTU MAKINI HATA KWA HAWA WANACCM MITAANI